Instagram: Maneno 42 aliyoyaandika Lulu kwenye hii picha yake April 24 2016…
Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni staa kutoka kiwanda cha filamu Tanzania, April 24 2016 amezichukua headline kwa kuandika yafuatayo kupita mtandao wake wa instagram ni baada ya kupost picha inayoonesha pete kwenye…
Zisikupite hizi habari 10 kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania April 24 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipitia hapa…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 24 2016 kwenye, Hardnews na michezo
April 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na Hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye…
VideoMPYA: Mabibi na Mabwana Mafikizolo na Diamond wanayofuraha kutuonyesha hii video yao mpya
Ni video ambayo single yake ilirekodiwa toka June 2014 Johannesburg South Afrika kwenye studio ya Oskido ambaye ni mmoja wa malegend wa muziki Afrika Kusini, ukishamaliza kuitazama hii video sio…
Kalapina anafahamu vingi kuhusu Matibabu ya Chid Benz, kayaongea haya…(+Video)
Kama unakumbuka March 22, 2016 meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale alimpeleka rapper Chid Benz Sober House iliyopo Bagamoyo iitwayo Life and Hope Rehabilitation Centre kwaajili ya kupata matibabu ya kuacha…
Matokeo na video za magoli ya mechi za Man City, Chelsea na Liverpool zilizochezwa April 23 2016
Jumamosi ya April 23 2016 michezo minne ya Ligi Kuu Uingereza ilichezwa kama kawaida, Man City walicheza dhidi ya Stoke City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani wakicheza dhidi ya Stoke…
VIDEO:Tazama skills walizowahi kuzionesha Ronaldo, Sanchez, Neymar na wengine katikati ya mchezo
Kuna watu katika soka mpira unawaheshimu yaani anaweza kuuchezea vyovyote apendavyo ili mradi tu awe kaamua kufanya hivyo, ukiambiwa utaje majina ya wanasoka wenye uwezo wa kufanya soccer skills katikati…
PICHA 10: Stlye inayotumika kumuenzi Prince
Kufuatia kifo cha legengary wa muziki Duniani Prince Rogers Nelson maarufu kama ‘Prince’ aliyefariki April 21 2016 akiwa na umri wa miaka 57, kumefanyika matukio mbalimbali ya kumuenzi mwanamuziki huyo. Kutokana…
Liverpool imetangaza kumsimamisha staa wake kwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu
Uongozi wa klabu ya Liverpool leo April 23 2016 umetangaza kumsimamisha staa wake ambaye alikuwa anahusishwa kutumia dawa za kuongeza nguvu michezoni, Liverpool imeamua kumsimamisha beki wa kimataifa wa Ufaransa…
Ilikupita hii Show ya Harmonize na watu wake Mwanza? Nimekusogezea
April 16 2016 Staa wa bongo fleva na mmiliki wa mdundo ‘Bado’ Harmonize, aliidondosha burudani kwa watu wake wa Mwanza kwa mara ya kwanza. Kama hukupata time ya kuitazama basi…