FC Barcelona imevuliwa Ubingwa wa UEFA na Atletico Madrid kwa kipigo hiki (+Video)
Usiku wa April 13 2016 ndio zilichezwa mechi mbili za mwisho za hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya, klabu ya FC Barcelona ilikuwa mgeni dhidi…
VIDEO: Azam FC walikipiga na Mtibwa Sugar, tazama goli la ushindi
April 13 2016 Azam FC walicheza dhidi ya Mtibwa Sugar katika uwanja wa Manungu Turiani kufanikiwaekichkuwafunga wenyeji wao goli 1-0. Goli la Azam FC lilifungwa na nahodha John Bocco kwa mkwaju…
Picha 25: Watu walivyokusanyika kumzika staa wa dance Ndanda Kosovo Dar es salaam
April 9 2016 Msanii wa dance Tanzania mzaliwa wa Congo DRC Ngongo Onawembo Ndanda Son (Ndanda Kosovo) alifariki akiwa kalazwa katika hospitali ya taifa Muhimbili ambapo alikuwa akipatiwa matibabu ya vidonda vya tumbo,…
Shirika la Afya Duniani limetoa hii Top Ten ya sababu zinazoongoza kwa vifo duniani
Shirika la Afya Duniani lilikusanya taarifa za sababu za vifo mwaka 2012 na kuzifananisha na sababu kubwa za vifo mwaka 2000. Magonjwa ya moyo yamekuwa ni sababu kubwa ya vifo duniani…
Yanga wameimaliza Mwadui FC wanaisubiri Mtibwa Sugar mchezo wa kiporo
April 13 klabu ya Dar es Salaam Young Africans iliendelea na harakati zake za kumaliza viporo vya mechi za Ligi Kuu soka Tanzania bara, klabu ya Yanga ilikuwa na viporo…
FULL VIDEO: Harusi ya Roma Mkatoliki ilivyokwenda kuanzia kanisani mpaka ukumbini
Ni msanii wa Hiphop Tanzania ambaye weekend iliyopita amefunga ndoa na Mrembo wake wa kitambo ambaye wana mtoto mmoja pamoja (Ivan), ndoa ilifungwa nyumbani Tanga, tazama hii video hapa chini..…
Picha 10: Kutoka kwenye Eneo la msiba wa Ndanda Kosovo Kinondoni Dar es salaam
April 9 2016 muziki wa dance ulipata msiba baada ya kuondokewa na mkali wa muziki wa dance Tanzania Ndanda Kosovo ambaye amefariki akiwa kwenye matibabu hospitali ya Muhimbili Dar es…
EXCLUSIVE: Vitu vimewahi kumtokea Nisha nchini China na hawezi kuvisahau
Mwigizaji wa bongo movie Salma Jabu a.k.a Nisha kwa sasa atakua anaonekana sana China na nyumbani Tanzania na hii ni baada ya kuamua kwenda kusomea masomo ya Ujasiriamali China masomo…
Majibu ya Diamond… kwanini aliibeba familia na kwenda nayo Ulaya, bongofleva ilipofikia
Diamond Platnumz alionekana kwenye safari zilizofikia tisa kwa kutembelea nchi mbalimbali za Ulaya na kufanya show ambapo kwenye hii Exclusive anaeleza kwanini alisafiri na familia yake akiwemo Mama yake na…
Zifahamu rekodi tatu za Ronaldo baada ya hat-trick yake ya April 12 2016
Jina la staa wa soka wa kimaifa wa Ureno Cristiano Ronaldo lilirudi kwenye headlines baada ya usiku wa April 12 2016 kuisaidia klabu yake ya Real Madrid kufuzu hatua ya…