Top 10 ya Tweets zilizopewa uzito kwenye Magazeti ya leo Feb 20 2016 unazisoma pamoja hapa!!
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Rwanda wampongeza Magufuli kwa hatua zinazochukuliwa…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo February 20 2016 kwenye udaku, Hardnews na michezo
February 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu…
Paul Scholes mapenzi yake kwa Man United yanataka kumuachisha kazi BT Sport ili …
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Man United na timu ya taifa ya Uingereza Paul Scholes ambaye amewahi kuichezea klabu ya Man United kwa zaidi ya miaka 15, anatajwa kutaka…
Taarifa ya usahihi kuhusu TCU kufuta kibali cha vyuo vishiriki
Ni taarifa kuhusu tume ya vyuo vikuu Tanzania TCU ambayo imetolewa na katibu mtendaji Profesa Yunus Mgaya…
Top 10 ya Urban Hit Trace Tv imekamilika hivi kwa leo Feb 19 2016
Tayari nimezikusanya Urban hit Top 10 za Trace Tv leo Feb 19 2016, zote nazisogeza kwako hapa chini kuanzia nafasi ya 10 hadi ya kwanza. 10.Emtee – Roll Up 9.Yo Gotti…
Mvuto wa ramani za viwanja 12 vitakavyotumika Kombe la Dunia 2022 Qatar (+Pichaz)
Kwa kawaida maandalizi ya Michuano ya Kombe la Dunia hufanyika miaka zaidi ya minne kabla ya nchi husika kuanza kupokea timu katika miji yao. Imekuwa kawaida kwa kila nchi inayotarajia…
U Heard ya leo imemgusa Shilole, ukweli kuhusu mahusiano yake mapya baada ya kuachana na Nuh Mziwanda? …(+AUDIO)
Kwenye U Heard ya Clouds fm leo ni kuhusu mrembo Shilole ambaye tangu kuachana na mpenzi wake wa zamani Nuh Mziwanda haijafahamika wazi ni nani mwingine amechukua nafasi, Sasa leo Soudy…
Ni kweli Dogo Janja kauponda uongozi wake wa Tiptop? Maamuzi ya Madee ni yapi?….(255+Audio)
Kwenye 255 ya Clouds fm leo Feb 19 2016, ni pamoja na hii ya Dodo Janja kudaiwa kulalamika ananyanyaswa na kunyimwa nafasi na Uongozi wake, hii ni baada ya kusambaa…
Kuelekea mechi Simba Vs Yanga, TFF watafunga sehemu ya barabara hii Feb 20
February 20 uwanja wa Taifa Dar Es Salaam klabu kongwe na zenye upinzani Tanzania Simba na Yanga zitashuka dimbani kupambana katika mchezo wao wa marudiano wa mzunguuko wa pili wa…
Baada ya Headline za Chui na Tembo India, hii ndio idadi ya Simba wanaoripotiwa kuingia mtaani Kenya …
February 8 nchini India, Chui alitengeneza headline baada ya kuingia kwenye majengo ya shule na kujeruhi wanafunzi 6, siku tano mbele headline ziliendele India baada ya Tembo kuingia mtaani na kufanya uharibifu wa mali za watu.…