Tyga katusogezea hii nyingine mpya ‘I smile, I Cry’..Video
Rapper Tyga amerudi kwenye headlines za burudani baada ya kudondosha mdundo wake mpya ‘I Smile, I Cry’. Karibu uitazame hapa mtu wangu.. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa…
Weusi kwenye stage pembeni kampani ya Waziri Nape Nnauye alivyokamata gitaa… (+Video)
Siku chache zilizopita kulikuwa na party ya timu nzima ya Clouds Media Group pamoja na waalikwa mbalimbali pale Escape One, Mikocheni Dar es Salaam. Ilikuwa ni party ya kusherehekea hatua…
Kama sio Diamond Platnumz, collabo ya ‘Zigo Remix’ kumbe angekaa staa wa Nigeria !! .. AY kamtaja (+Audio)
Mkongwe mwenye vyeo na heshima yake kwenye game ya Bongofleva, Ambwene Yessayah a.k.a AY karudi kuikamata chart ya muziki kwa mdundo wa ‘Zigo Remix‘ ambao umepitishwa kwenye mikono ya producers watatu…
Pita na hapa kama unataka kununua Furniture na vitu vya ofisi Dar es salaam
Wakati wote mtu wako nafurahi kukusogezea vitu ambavyo vinaweza kukusaidia na kukurahisishia… kama leo nimepita Laxspacer Internatinal ambayo ni kampuni ya Auction and Debt collection yenye ofisi zake Temesa Yard Keko Road.…
Zile picha za mwanamke aliyekutwa shimoni hakuwa msukule, ndugu wamesimulia.. (+Audio)
Kulikuwa na picha mitandaoni zilizoenea, wako waliosema mwanamke huyo aliyekutwa maeneo ya Kibamba Dar ni msukule… wengine wakasema ana matatizo ya akili. Hekaheka ya jana radio Clouds FM ilisikika na…
Video ya mwanzo mwisho wa makamuzi ya Navy Kenzo kwenye stage Mbeya..
Ilikuwa party time, watu wa nguvu Mbeya town walienjoy kazi ya nguvu kwenye stage iliyokamatwa na Navy Kenzo… ilikuwa ni uzinduzi wa chimbo jipya kabisa cha kujienjoy maeneo ya Mbeya. Nakupa…
Twiga Albino?, Mwanafunzi wa IFM kwenye kashfa, kesi ya Bulaya, Kafulila?..MAGAZETINI
MTANZANIA Mwanafunzi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Mussa Msafiri (23), alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jana akituhumiwa kumwingizia vidole sehemu za siri mtoto (jina limehifadhiwa)…
Picha 10 za siku ya kwanza kutoka ndani ya Bunge la Afrika Mashariki Arusha
Kikao cha Bunge la 11 kimeanza Dodoma leo January 26 2016, kama unafatilia matangazo ya Bunge kupitia TV au redio utakuwa umeshaona tayari kinachoendelea mtu wangu. Lakini naomba nikufikishie nyingine…
Top 10 ya Tweets zilizopewa uzito kwenye Magazeti ya leo January 26 unazisoma pamoja hapa!!
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Serena Williams kwenye hatua nyingine ya ushindi dhidi ya Maria Sharapova..
Nyota wa tennis duniani Serena Williams ameendelea kuonyesha kwamba yeye ndio bora zaidi baada ya kumshinda mpinzani wake Maria Sharapova kwenye michuano ya wazi ya Australia Open. Huu ni ushindi…