Magazeti ya Tanzania October 29, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 29 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
VIDEO: Takwimu zilizomfanya waziri Mwigulu ashawishi kocha Hans arudi Yanga
Leo October 28 2016 hatimae majadiliano yaliodumu kwa siku takribani tatu yakisimamiwa na waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mwigulu Lameck Nchemba, yamezaa matunda baada ya kocha Hans kuombwa…
VIDEO: Sababu iliyofanya kocha Hans afute uamuzi wake wa kujiuzulu Yanga
Siku nne baada ya kocha wa Yanga muholanzi Hans van Pluijm atangaze kujiuzulu nafasi yake ya ukocha ndani ya Yanga kutokana na kuona kama anakosewa heshima ya nafasi yake kuhusishwa…
VIDEO: CCM yataka Zitto na wenyeviti wa kamati za Bunge wachunguzwe akaunti zao
Baada ya wabunge kupitia kamati ya hesabu za Serikali 'PAC' kufichua ufisadi kwenye shirika la taifa la hifadhi ya jamii 'NSSF' ambapo walibaini kuwa mradi wa NSSF wa kuendeleza mji…
AUDIO: Ukimuuliza kocha Liewig kuhusu uhusiano wake na Elias Maguli, atasema hivi
October 28 kocha mfaransa Patrick Liewig aliyekuwa akizungumzwa kama kocha mwenye matatizo sana na wachezaji, amefunguka katika exclusive interview na Amplifaya ya Clouds FM, Liewig amefunguka na kueleza mahusiano yake…
Shirika la ndege Kenya Airways limetangaza hasara ya mabilioni haya…!!
Baada ya wiki kadhaa zilizopita kupata mtikisiko wa migomo ya wafanyakazi wake, Shirika la ndege la Kenya limetangaza hasara ya shilingi bilioni 4.7 katika kipindi cha miezi sita kilichomalizika Septemba…
VIDEO: Tano za Urban hit 10 ya Trace TV waafrika watatu
Kwa wadau wangu ambao ni wapenzi wa burudani, huwa nahakikisha haupitwi na chochote na leo nakusogezea top five ya countdown ya Urban hit 10 ya kituo kikubwa cha burudani Trace…
Ipo hapa List ya nchi zenye watu wakarimu zaidi duniani… Tanzania je?
Leo October 28, 2016 zimetajwa nchi 140 zenye watu wakarimu zaidi duniani. Na Tanzania imetajwa humo pia japo nafasi yake ni ya chini ikipitwa na nchi kama Kenya ambayo imekamata nafasi nafasi…
Taarifa ya Mamlaka ya Dawa na Chakula TFDA kuhusu Dawa bandia zilizokamatwa
October 28, 2016 Nimeipata taarifa ya kukamatwa Dawa bandia za Malaria na Vijiuasumu (Antibiotic) zenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 17 na Mamlaka ya Chakula na Dawa, TFDA, ambayo…
Taarifa ambazo ni pigo kwa mashabiki wa Arsenal na kocha Wenger
Ni kweli taarifa zilizotolewa leo na klabu ya Arsenal haziwezi kuwapa furaha mashabiki wa Arsenal na kocha wao Arsene Wenger, ukizingatia wakati huu ambao watakuwa na mtihani mzito wa kurudisha…