VIDEO: Benki Kuu ya Tanzania yachukua usimamizi wa Benki ya Twiga
October 28 2016 Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Benno Ndullu aliita waandishi wa habari kwa Dharura, mbele ya waandishi wa Habari Benno Ndullu ametoa taarifa kuwa Benki kuu ya…
Hautaamini alichosema Bill Gates kuhusu atakayemuachia utajiri wake..!!
Bila shaka umeshawahi kufikiria kuhusu mrithi wa mali zako siku ikitokea haupo duniani, japokuwa kwa tamaduni za kiafrika ni watu wachache sana huwa wanaweka wazi au kuandika taarifa kuhusu warithi…
Baada ya MTVMama hii ni Tuzo nyingine aliyoshinda Wizkid
Baada ya kuongoza list ya washindi wa tuzo za MTVMAMA 2016 zilizotolewa October 22, 2016 jijini Johanesburg Afrika Kusini, Super Star Wizkid ametangazwa kushinda tuzo nyingine iliyotolewa na MOBO Awards…
U Heard: Picha za mpenzi mpya wa Baraka the Prince zimevuja mitandaoni
Hit maker wa mdundo wa Nisamehe Baraka the Prince ambaye ni mpenzi wa mrembo kutoka Bongoflevani Naj, leo kwenye U Heard ya Soudy Brown ya Clouds FM ameingia kwenye headlines…
Abby Skillz katuletea single mpya aliyomshirikisha Alikiba & Mr Blue…
Ni Headlines za Abby Skillz ambae October 28, 2016 ametuletea hii single yake mpya iitwayo Averina ambayo amewashirikisha mastaa wawili wakali kutoka Bongoflevani Alikiba na Mr Blue.Wimbo huo mpya umetayarishwa katika…
Maneno ya Linah baada ya kumpost mpenzi wake mpya Instagram
Ni msanii wa Bongo Fleva, Lina Sanga ambae October 28, 2016 amechukua headlines mitandaoni baada ya kumpost rasmi mpenzi wake mpya. Staa huyo kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliyaandika…
Ubalozi wa Marekani nchini Kenya wafungwa baada ya tukio la kisu
Jana October 27 2016 iliripotiwa taarifa ya mwanaume mmoja kujaribu mshambulia afisa wa usalama karibu na ubalozi wa Marekani nchini Kenya kwa kisu, kisa hicho kimefanya ubalozi wa Marekani nchini…
BREAKING NEWS: Usishangae kumuona kocha Hans van Pluijm akiifundisha Yanga tena
Siku nne baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans muholanzi Hans van Pluijm ajiuzulu nafasi yake hiyo, leo October 28 2016 klabu ya Yanga…
Alikiba aelezea ujio wa single mpya aliyoshirikishwa na Ommy Dimpoz
Ni October 28, 2016 ambapo mkali kutoka Bongo Flevani, Alikiba amefunguka na kuweka wazi ujio wa single mpya aliyoshirikishwa na Ommy Dimpoz iitwayo Kajiandae. Staa huyo akizungumza kwenye kipindi cha…
VIDEO: Uwezo mwingine unaotajwa kwenye simu ya Tecno Phantom 6 Plus
Simu ya Tecno Phantom 6 Plus bado haijaingia sokoni imetajwa kuwa na betri inayodumu kwa muda mrefu zaidi, kinginge kizuri kinachotajwa kutoka kwenye simu hiyo ni uwezo mkubwa kwa upande…