Alikiba aelezea ujio wa single mpya aliyoshirikishwa na Ommy Dimpoz
Ni October 28, 2016 ambapo mkali kutoka Bongo Flevani, Alikiba amefunguka na kuweka wazi ujio wa single mpya aliyoshirikishwa na Ommy Dimpoz iitwayo Kajiandae. Staa huyo akizungumza kwenye kipindi cha…
VIDEO: Uwezo mwingine unaotajwa kwenye simu ya Tecno Phantom 6 Plus
Simu ya Tecno Phantom 6 Plus bado haijaingia sokoni imetajwa kuwa na betri inayodumu kwa muda mrefu zaidi, kinginge kizuri kinachotajwa kutoka kwenye simu hiyo ni uwezo mkubwa kwa upande…
VIDEO: Erick Omondi kairudia ‘SALOME’ ya Diamond ft Rayvanny na kuifanyia hii video
Erick Omondi ni mchekeshaji kutoka Kenya ambaye amepata umaarufu Tanzania kutokana na fani yake ya uchekeshaji lakini pia utundu wake wa kuigiza na kuzirudia nyimbo za Diamond Platnumz kwenye video…
TRAILERS: Movie 6 utazikuta Cinema Dar es salaam leo Oct 28
Najua nina watu wangu tu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend kama hivi sasa kama upo Dar es salaam kuna hizi movie labda ukitazama Trailers hapa unaweza kushawishika kwenda kuzitazama.…
Habari kubwa za magazeti ya Tanzania zilizoandikwa leo October 28 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/791841344465625089…
VIDEO: Kutoka kwenye Birthday Party ya mwigizaji Aunt Ezekiel…
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa mwigizaji, Aunt Ezekiel alifanyiwa Party October 27, 2016 akaalikwa baadhi ya marafiki zake kusheherekea siku yake ya kuzaliwa. Itazame hii video hapa uone jinsi…
RIPOTI KAMILI: Kuhusu matokeo ya Darasa la Saba 2016
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) jana October limetangaza matokeo ya mtihani wa Darasa la Saba huku ikionesha kuwa UFAULU umepanda kwa…
AyoTV Magazeti: Udanganyifu kufuru matokeo darasa la saba, Serikali kuchukua shamba la Sumaye
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=4oRo7LaCgLs ULIKOSA MATUKIO SITA YA UDANGANYIFU YALIYOTOKEA…
Magazeti ya Tanzania October 28, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 28 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
Uliokuwa mpango wa Real Madrid kuhusu Pep Gurdiola
Kuna baadhi ya vitu ni nadra sana kutazamiwa vinaweza kutokea katika soka japokuwa wakati mwingine hutokea, mara chache kuona vilabu vyenye upinzani vikiuziana wachezaji walio na mikataba nao, hii imeripotiwa…