Uliokuwa mpango wa Real Madrid kuhusu Pep Gurdiola
Kuna baadhi ya vitu ni nadra sana kutazamiwa vinaweza kutokea katika soka japokuwa wakati mwingine hutokea, mara chache kuona vilabu vyenye upinzani vikiuziana wachezaji walio na mikataba nao, hii imeripotiwa…
Maneno 41 aliyoyaandika Jakaya Kikwete kuhusu matumizi mabaya ya picha zake mitandaoni
Rais mstaafu kutoka kwenye awamu ya nne ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ameamua kujibu kile kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii katika siku za karibuni. Kupitia Twitter…
VIDEO: Kipigo cha 6-2 kutoka Yanga, kimewafanya Kagera kuwasimamisha wachezaji
Klabu ya Kagera Sugar ya Bukoba leo October 27 2016 imeripotiwa na kituo cha Azam TV kutangaza kuwasimamisha wachezaji wake wawili kwa tuhuma za kuhujumu timu hiyo wakati wa mchezo…
PICHA 14: Muonekano wa Jiji la Arusha wakati wa usiku
October 27, 2016 Jiji la Arusha ni kati ya maeneo ambayo yanatajwa kuwavutia watu wengi kutokana na mpangilio wa jiji hilo pamoja na kutokuwepo kwa foleni kubwa za magari kama…
VIDEO: Hukumu ya kunyongwa hadi kufa iliyotolewa kwa wauaji wa Albino Bukoba
Mahakama kuu Kanda ya Bukoba imewahukumu kunyongwa hadi kufa Pankras Minago na Lameck Bazil baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia na kumuua kwa kumchoma na vitu vyenye ncha kali…
Kikubwa alichojifunza Cristiano Ronaldo katika soka, kuhusu Messi je?
Mshambualiaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo jina lake limegusa tena headlines baada ya kufanya mahojiano na Coach Magazine na kuongea mambo kadhaa kuhusu soka,…
Wizara ya Afya imeyataja makundi 13 yaliyoko hatarini kuambukizwa VVU nchini
Leo October 27, 2016 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kwa Waziri mwenye dhamana Ummy Mwalimu, imetoa tamko kuhusu huduma kwa makundi maalumu na yaliyoko…
VIDEO: Waziri Lukuvi ametaja maamuzi yaliyochukuliwa katika shamba la Sumaye Mabwepande
Eneo la shamba ambalo liko maeneo ya Mabwebande linalomilikiwa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ambalo linadaiwa kuwa wananchi walilivamia baada ya kuona haliendelezwi kwa muda mrefu na kuweka makazi…
Post ya Nay wa Mitego kuhusu Wema Sepetu na Milioni 500 za Idris
Nay wa Mitego ni kati ya Mastaa wa Tanzania ambao karibia kila wanachokifanya kwenye maisha yao hugeuka kuwa Headlines kubwa kutokana na style ya vitu wanavyofanya. Leo October 27, 2016…
VIDEO: Matukio Sita ya udanganyifu yaliyotokea katika Mtihani wa Darasa la saba 2016
Baraza la mitihani la Taifa limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi ambapo kumekuwa na ongezeko la ufaulu kwa asilimia 2, kabla ya kutangaza matokeo hayo, katibu Mtendaji wa NECTA,…