Kikubwa alichojifunza Cristiano Ronaldo katika soka, kuhusu Messi je?
Mshambualiaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo jina lake limegusa tena headlines baada ya kufanya mahojiano na Coach Magazine na kuongea mambo kadhaa kuhusu soka,…
Wizara ya Afya imeyataja makundi 13 yaliyoko hatarini kuambukizwa VVU nchini
Leo October 27, 2016 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia kwa Waziri mwenye dhamana Ummy Mwalimu, imetoa tamko kuhusu huduma kwa makundi maalumu na yaliyoko…
VIDEO: Waziri Lukuvi ametaja maamuzi yaliyochukuliwa katika shamba la Sumaye Mabwepande
Eneo la shamba ambalo liko maeneo ya Mabwebande linalomilikiwa na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ambalo linadaiwa kuwa wananchi walilivamia baada ya kuona haliendelezwi kwa muda mrefu na kuweka makazi…
Post ya Nay wa Mitego kuhusu Wema Sepetu na Milioni 500 za Idris
Nay wa Mitego ni kati ya Mastaa wa Tanzania ambao karibia kila wanachokifanya kwenye maisha yao hugeuka kuwa Headlines kubwa kutokana na style ya vitu wanavyofanya. Leo October 27, 2016…
VIDEO: Matukio Sita ya udanganyifu yaliyotokea katika Mtihani wa Darasa la saba 2016
Baraza la mitihani la Taifa limetangaza matokeo ya kumaliza elimu ya msingi ambapo kumekuwa na ongezeko la ufaulu kwa asilimia 2, kabla ya kutangaza matokeo hayo, katibu Mtendaji wa NECTA,…
PICHA 4: Harusi ya kifahari ya wanajeshi 18 wa China kuoa siku moja
Miongoni mwa matukio muhimu katika maisha ya binadamu moja wapo ni Harusi ambazo pia watu wengi hupenda kusheherekea kifahari zaidi kwasababu ni tukio la kipekee kwenye maisha yao, leo nimekutana…
PICHAZ: List ya miji iliyotembelewa zaidi duniani mwaka 2016
Imenifikia listi ya miji ambayo kwa mwaka huu 2016 imepata watalii wengi zaidi, nimeona sio mbaya kushare na wewe. Global Destinations cities index imetoa ripoti ya miji 132 inayoongoza kwa…
VIDEO: Mtazame mtoto huyu wa miaka minne anayeongea lugha saba
Siku kadhaa zilizopita, mtoto wa kitanzania alichukua headlines baada ya kuonesha uwezo wa kuwataja viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi na wazazi wa mtoto huyo walieleza kwamba sababu…
PICHA 10: Muonekano wa Rihanna akiwa kwenye mavazi ya Kiafrika
Kama wewe ni mpenzi wa kufuatilia mastaa wa nje ya nchi, maisha yao ya kawaida na kimziki na siku zote nina hakikisha haupitwi na chochote mtu wangu , leo hii…
U HEARD: Kuhusu jamaa aliyetapeliwa mamilioni kwa jina la Alikiba
Kupitia U Heard ya Clouds FM leo October 27, 2016 Mtangazaji Soudy Brown amezungumza na jamaa mmoja kutoka Mtwara ambaye katika maelezo yake amedai kuwa alitapeliwa pesa zake alizoshinda kwenye…