Video: GK amefunguka alivyokutana na Vanessa Mdee na Aliyewakutanisha
Moja kati ya wasanii wa long time kwenye game ya Bongofleva GK ameeleza ni jinsi gani alikutana na mrembo Vanessa Mdee na kuweza kufanya nae collabo, ni mdundo wa Gk…
HEKAHEKA: Ukweli wa Daktari feki kufanya utapeli wodi ya wazazi Mnazi Mmoja
Jana October 26, 2016 Kupitia Heka Heka ya Clouds FM, mtangazaji wa Leo Tena alikutana na stori kuhusu utapeli uliofanywa ndani ya wodi ya wajawazito kwenye Hospitali ya Mnazi Mmoja…
PICHA 6: Migahawa maarufu inayopatikana Sinza, Dar es salaam
October 27, 2016 MillardAyo.Com inakuletea picha za Migahawa sita yenye umaarufu mkubwa katika eneo la Sinza jijini Dar es salaam. Japokuwa Migahawa hii iko kwenye mazingira ya wazi sana lakini…
VIDEO: Rais Zuma alivyonaswa na kamera akiwa amelala wakati wa hotuba ya bajeti
Wananchi wa Afrika Kusini jana October 26 2016 walikuwa wakifuatilia kwa makini kile ambacho kilikuwa kinaendelea bungeni ambapo Waziri wa Fedha wa nchi hiyo, Pravin Gordhan alikuwa akisoma hotuba ya…
Sauti Sol wasema bado wamebakiza wengine kufanya nao collabo TZ
Ni October 27, 2016 ambapo kundi la muziki kutokea Kenya, Sauti Sol wamefunguka na kuwataja wasanii wa Bongo Fleva waliofanya nao collabo. Kundi hilo likizungumza na millardayo.com & Ayo TV…
Unaweza kuyatazama hapa matokeo yote ya mtihani wa darasa la saba 2016
October 27 2016 Baraza la mitihani la Taifa 'NECTA' limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba, Matokeo yote unaweza kuyatazama kwa kubonyeza >>> LINK 1 HAPA LINK2 HAPA ULIKOSA MENGINE MAPYA…
AY kataja sababu ya kuacha kuwasimamia Stereo na Ommy Dimpoz….
Ni Headlines za Ambwene Yessaya aka AY ambae leo October 27, 2016 amefunguka na kusema sababu ya kuacha kusimamia Wasanii kama Stereo na wengineo. Akiongea na millardayo.com & Ayo TV ameyasema…
AUDIO: Eti mwanamke kunyonywa matiti na mwanaume inapunguza maambukizi ya kansa?
Moja ya headline ambazo zimechukua nafasi kwenye mitandao ya kijamii ni pamoja na taarifa kwamba tafiti zinaonyesha kuwa mwanamke akinyonywa matiti na mwanaume inampunguzia kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa…
Mtangazaji wa TV amempa ofa Obama kwenda Kenya… Lakini kwa sharti hili
Akiwa amebakiza siku chache kuendelea kuitawala nchi ya Marekani kama Rais wa nchi hiyo, Barack Obama amepewa ofa ya kushangaza na mtangazaji maarufu wa radio and TV aitwaye Sean Hannity, ambaye…
Post za Wema Sepetu kuhusu Aunty Ezekiel baada ya kuchuniana muda mrefu.
Mrembo Wema Sepetu leo kupitia akaunti yake ya Instagram amefululiza kupost picha nyingi zikimuonyesha akiwa na Aunty Ezekiel kama ishara ya kumtakia heri kwa siku yake ya kuzaliwa lakini pia…