RIPOTI: Shirika la Fedha Duniani IMF limetoa taarifa ya hali ya uchumi Afrika
Shirika la Fedha Duniani IMF limetoa ripoti yake kuhusu hali ya ukuaji wa uchumi katika nchi za eneo la chini ya jangwa la Sahara barani Afrika ambapo inaonesha kuwa Uchumi unatazamiwa kupungua…
Habari kubwa zilizoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania October 27 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/791481627373371392…
AUDIO Mpya: Mr May D ametuletea hii ‘Hustle’ ft Davido & Akon
Kwa wapenzi wangu wa burudani siku zote nahakikisha haupitwi na chochote mtu wangu, baada ya ukimya mrefu kidogo tangu auwachie mdundo wake wa 'i dont wanna know' kwa wapenzi wa…
AyoTVMAGAZETI: Mchujo mpya bodi ya mikopo, CAG ashtukia ulaji wa mil 775 kila eka NSSF
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=bfQVY4zI28Q ULIKOSA HAYA MENGINE MAPYA KUTOKA BODI…
Magazeti ya Tanzania October 27, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 27 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
VIDEO: Mourinho kalipa kisasi kwa Guardiola
September 10 2016 ilikuwa siku ya kihistoria kwa makocha waliokuwa na upinzani tokea wakiwa katika Ligi Kuu Hispania Jose Mourinho na Pep Guardiola, wakati huo walikuwa wanakutana kwa mara ya…
VIDEO: Kibali cha Farid Musa kucheza soka Hispania kimepatikana
Baada ya kukaa Dar es Salaam muda mrefu kwa mchezaji wa Azam FC aliyefuzu kucheza soka katika klabu ya Tenerife ya Hispania Farid Musa kwa sababu ya kukosa kibali cha…
AUDIO: Maamuzi ya serikali kuhusu mfumo wa mabadiliko wa Simba na Yanga
Baraza la michezo Tanzania BMT leo kupitia kwa katibu mkuu wake Mohamed Kiganja limetangaza maamuzi tofauti kuhusu mchakato wa mabadiliko ya uendheshwaji wa vilabu vya Simba na Yanga kwa mfumo…
VIDEO: Magoli yote manne ya Yanga vs JKT Ruvu October 26 2016
October 26 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans ilicheza dhidi ya JKT Ruvu katika mchezo wake wa kiporo, Yanga wamecheza na JKT Ruvu na kufanikiwa kuifunga magoli 4-0,…
VIDEO: Baada ya Mchungaji Lwakatare kuwatoa wafungwa DSM, sasa ni zamu ya Dodoma
Ikiwa siku kadhaa zimepita tangu Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni B, Dk. Getrude Lwakatare kutoa milioni 25 kwa ajili ya kuwalipia wafungwa 78 ambao walikosa fedha za…