AUDIO: Wanafunzi 11 waliokiri kufanya ngono na mbwa Arusha hawatashitakiwa
Wanafunzi wa kiume 11 wa shule za msingi Sombetini jijini Arusha wametuhumiwa kufanya ngono na mbwa eneo la mto Ngarenaro. Watoto hao ni wa miaka kati ya miaka saba na 11…
Baada ya 20 Percent, msanii mwingine amesainiwa na Producer Man Walter
Kiwanda cha muziki wa Bongo Flava Tanzania kinazidi kujitanua baada ya kuanza kutumika utaratibu ambao unatumika sana kwenye mataifa makubwa na yaliyopiga hatua kubwa kwenye muziki. Utaratibu wa studio za…
Kiwango cha Pesa utatakiwa kulipa Ili upate Collabo na Akothee
Kama ilivyo ahadi yangu kwako, ni kuhakikisha haipitwi na story yoyote mtu wangu na leo nimeipata hii kutoka kwa msanii wa muziki kutoka Kenya, Akothee. Inawezekana wengi wetu tunafahamu tu kwamba…
Yanga imeendeleza ubabe Hans van Pluijm akiiangalia jukwaani
Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu wa 2016/2017 umeendelea leo kwa Mabingwa watetezi klabu ya Dar es Salaam Young Africans kushuka dimba la Uhuru kucheza dhidi ya JKT Ruvu bila…
Ciara amethibitisha kuwa na ujauzito wa Russel Wilson
Mwanadada mrembo na mwanamziki kutoka marekani, Ciara ambaye baada ya kuachana na rapper Future aliyekuwa baba mtoto wake, na kufunga ndoa na Russel Wilson kupitia mitandao yao ya Instagram yeye…
Picha 9 za Viboko wanaopatikana Mbuga ya Katavi..
Moja kati ya maeneo ya utalii ambayo Tanzania tumebahatika kuwa nayo ni pamoja na hii Mbuga ya Katavi ambayo utambulisho wake mkubwa ni nembo ya Viboko. Lakini pia Viboko hao wengi…
China imeshikilia rekodi hii ya dunia kwenye biashara ya Smartphone!!
Biashara ya Simu za kisasa maarufu kama Smartphone au Simu Janja imeendelea kukua na kuongeza ushindani wa makampuni ya utengenezaji wa bidhaa hizo duniani kote. Leo October 26, 2016 mtu…
Majibu 12 ya maswali aliyoulizwa Jokate kupitia Twitter
Leo October 26, 2016 kupitia mtandao wa Twitter kulikuwa na maswali ya moja kwa moja kwa mrembo na mwanamitindo Jokate Mwegelo a.k.a Kidoti ambaye alikua akiyajibu maswali ya watu mbalimbali…
U HEARD: Alichoongea H Baba kuhusu nyumba walizopost Alikiba na Diamond
Jana October 25, 2016 kwenye mtandao wa Instagram kulikuwa na majibizano ya mashabiki wa mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Flava Tanzania nawazungumzia Diamond Platinumz na Alikiba hukua akiwepo mtu…
PICHA 30: Warembo watakaoshindana kumtafuta Miss Tanzania October 29
Mtu wangu najua wengi tumemisi kuona mashindano ya Miss Tanzania, leo October 26 2016 millardayo.com imekusogezea picha 30 za warembo ambao watazitengeneza headlines kwa mara nyingine na October 29 2016…