HEKAHEKA: Daktari feki aliyetapeli kwenye Hospitali ya Mnazi Mmoja Dar
October 26, 2016 Kupitia Leo Tena ya Clouds FM Gheah Habib ametuletea hii Hekaheka iliyotokekea katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Jijini Dar es salaam, ni baada ya Mama aliyekuwa akisubiri kujifungua katika…
PICHA 12: Watoto wanavyoshuka na kupanda mita 800 za mlima huko China ili kwenda shule
Katika milima ya jimbo la Sichuan kusini magharibi mwa China, kundi la watoto ambalo lilikuwa likishuka mita 800 kwenye mlima ili kufika shule huku wakitumia njia za asili ambazo ni…
Habari kubwa zilizondikwa kwenye magazeti ya Tanzania October 26 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/791117749531643904…
AyoTVMAGAZETI: Lowassa achambua mwaka wa JPM, Simanzi ripoti vifo watoto 130 kila siku
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=4LLsnwz5nDY ULIKOSA HII YA MWIJAGE KUELEZA KAMA…
Magazeti ya Tanzania October 26, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
VideoFUPI: Diamond Platnumz katuonesha nyumba yake ya Afrika Kusini
Siku kadhaa zimepita toka msanii wa Bongofleva Diamond Platnumz atangaze kuwa kanunua nyumba ya kuishi Afrika Kusini, huku baadhi ya watu wakidaiwa kutoa comment kuwa nyumba hiyo sio ya staa…
Mechi 12 atakazozikosa Eric Bailly wa Man United baada ya kuumia goti
Beki wa kimataifa wa Ivory Coast anayeichezea Man United ya Enland Eric Bailly, October 25 2016 jina lake limegonga headlines tena England baada ya taarifa za muda atakaokaa nje ya…
VIDEO: Magoli ya Liverpool yalioiua Tottenham Hotspurs EFL Cup
Usiku wa October 25 2016 michezo 6 ya Kombe la EFL ilichezwa England, moja kati ya mchezo uliochezwa usiku huo ulikuwa ni mchezo kati ya Liverpool dhidi ya Tottenham Hotspurs,…
Agizo la Waziri Hamad Masauni kwa Askari na Madereva endapo ajali itatokea
Ajali za Barabarani zimekuwa zikipoteza maisha ya wananchi wengi kila siku huku wengine kupata ulemavu wa kudumu. Leo October 25, 2016 Serikali kupitia kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani…
Top10 stori zilizosikika kwenye Amplifaya ya CloudsFM Oct 25 2016
Amplifaya ni show ya Radio ambayo husikika Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja jioni on CloudsFM ikizirusha habari kumi kubwa za siku ambazo ni mchanganyiko wa burudani, michezo, siasa, muziki…