Rais Magufuli ameteuliwa kuwania tuzo ya Forbes kwa watu maarufu barani Afrika
Ikiwa leo ni October 25, 2016, Rais John Pombe Magufuli anatimiza mwaka mmoja tangu alipopigiwa Kura na wananchi wa Tanzania na kumchagua kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri…
VIDEO:Machache ambayo watu wengi huvutiwa kuyaona wakifika Johanesburg
Katika nchi za Afrika ambazo zimepiga hatua kubwa kimaendeleo, Afrika ya kusini ni mojawapo. Ikiwa katika listi ya nchi zilizoendelea, na sio zinazoendelea kama nchi nyingine nyingi za Afrika. Millardayo.com…
Staa atakayeukosa mchezo wa EFL Cup wa Man United vs Man City
Bado presha ya mchezo wa watani wa jadi wa jiji la Manchester utakaochezwa kesho October 26 katika uwanja wa Old Trafford kati ya Man United dhidi ya Man City unazid kuchukua…
U HEARD: Majibu ya Matonya baada ya kudaiwa kutolipa deni la gari aliyokodisha
Ni October 25 2016 kwenye U HEARD ya Clouds FM, inamuhusu hitmaker wa single iitwayo Sugu Benchi, Matonya ambaye analalamikiwa kukodisha gari ambayo ameitumia kwenye video yake mpya ya sugu benchi,…
Zimetajwa nchi zenye Vyuo Vikuu vingi na bora zaidi duniani.. Afrika ni ya Mwisho
Mtu wangu kila siku mataifa makubwa na madogo duniani hushindana kujenga misingi imara ya elimu bora. Jambo hilo limefanya ushindani kuwa mkubwa zaidi kwenye elimu za Vyuo vikuu. October 25,…
HEKAHEKA: Ugomvi wasabaisha kifo Kunduchi DSM, aliyeuawa alikuwa hataki ugomvi
October 25, 2016 Kupitia Leo Tena ya Clouds FM Geah Habib ametuletea hii Hekaheka iliyotokea Kunduchi Dar es salaam, ni kuhusu ugomvi wa vijana wawili uliosababisha kifo cha mmoja wao,…
PICHA 8: Hans van Pluijm alivyowasili mazoezini na kuagana na wachezaji wa Yanga
Siku moja baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Hans van Pluijm atangaze kujiuzulu nafasi yake hiyo, baada ya kusikia kuwa kuna kocha kutoka…
PICHA 7: Jinsi Star Davido anavyomuhudumia mtoto wake
Moja kati ya vitu ambavyo hufanywa siri sana na mastaa wengi duniani ni kuonesha jinsi wanavyoishi na familia zao kuanzia maisha ya mahusiano ya kimapenzi au malezi ya watoto. Lakini…
Maneno ya Daktari Bingwa baada ya kusaidia watoto wenye vichwa vikubwa Kagera
Maradhi ya vichwa vikubwa na migongo wazi kwa watoto yanatibika endapo wazazi watachukua tahadhali mapema ya kumpeleka mtoto hospitali kwaajili ya matibabu. Dk Hamis Shaabani daktari bingwa wa upasuaji wa mishipa…
UTAFITI: Nyimbo za Rihanna zatajwa kutuliza maumivu kwa watoto
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. Moja…