Picha 12 zikionesha Barabara, Majengo hapa Johannesburg Afrika Kusini…
Siku zote sitoacha kukusogezea stori zinazonifikia mtu wangu, hapa nimekuwekez picha 12 za majengo na Barabara kutoka kwenye jiji la Johannesburg Afrika Kusini. ULIIKOSA HI YA MSANII WA MAREKANI FUTURE…
VIDEO: Shaa kuhusu mipango ya kusaini wasanii wake mwaka 2017
Ni October 25, 2016 ambapo Malkia wa uswazi, Sara Kaisi aka Shaa amefunguka kupitia Ayo TV na kueleza mipango yake ya kuanza kusaini wasanii wake mwaka huu. Staa huyo akiongea…
AyoTVMAGAZETI: Kigogo Bandari Kortini kwa rushwa ya bil.8, Siasa za CCM ,UKAWA zaibua mapya
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=zBZ2MxdpJt4 ULIKOSA MANENO YA WAZIRI MWIJAGE KWA…
Magazeti ya Tanzania October 25, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 25 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
Huyu ndio CEO wa Yanga kutoka Ufaransa
Ukiachana na headlines za uongozi wa klabu ya Yanga kudaiwa kumleta kocha mpya katika klabu hiyo George Lwandamina kutoka Zesco United ya Zambia taarifa mpya zimetoka Yanga wamemteua mfaransa Jerome…
List ya washindi wa tuzo za LaLiga msimu wa 2015/2016
Usiku wa October 24 2016 waandaaji wa tuzo za LaLiga walitoa tuzo hizo rasmi, tuzo za wacheza na makocha waliofanya vizuri katika msimu wa 2015/2016 ndio zilitolewa huku Luis Suarez…
VIDEO: Majibu ya Meya Kinondoni kwa wanaohoji uwepo wa Dk. Tulia na Ndalichako
October 23 2016 baraza la halmashauri ya manispaa ya Kinondoni, Dar es salaam lilitangaza ushindi wa nafasi ya umeya kwa Benjamin Sitta ambaye alipigiwa kura na baadhi ya wajumbe. Lakini…
INSTAVIDEO: Saut Sol walivyopokelewa uwanja wa ndege baada ya kushinda tuzo ya MTVMAMA
Weekend iliyopita ilikua poa sana kwa Wakenya na kundi la muziki la Sauti Sol baada ya kufanikiwa kushinda tuzo ya Kundi Bora kutoka Afrika wakiwaacha R2Bees kutoka Ghana, Toofan kutoka…
AUDIO: Maneno alioyaongea kocha anayedaiwa kumrithi Hans Pluijm Yanga
Najua wewe utakuwa ni mmoja kati ya watu ambao wanahamu ya kufahamu ukweli kuhusu ujio wa kocha wa Zesco United ya Zambia George Lwandamina, kwa stori na tetesi zilizopo…
Sababu ya Justin Bieber kutupa Mic na kushuka kwenye stage
Najua kuna watu wangu ni mashabiki wa staa wa muziki wa RnB na Pop mwenye asili ya Canada, Justin Bieber amezikamata headlines baada ya kutupa mic chini akiwa anaperfom kwenye stage…