Hans van Pluijm ametangaza kujiuzulu
Baada ya headlines za muda mrefu zilizoanza toka October 10 2016 kuhusu hatma ya kocha mkuu wa klabu ya Dar es Salaam Young Africans Hans van Pluijm kuwa anakaribia kufutwa…
Drake atangaza kuachia album hii December 2016
Nafahamu kuna watu wangu ni wapenzi wa kufuatilia updates za wasanii wa nje ya nchi nikizungumzia mastaa kama Rihanna, Kanye West, Justin Bieber, Beyonce na wengineo wengi, pia katika list rappers…
PICHA 7: Manchester United walivyowasili nyumbani baada ya mechi ya jana
Baada ya jana kuchezea kichapo cha mwendokasi, cha magoli 4 - 0 dhidi ya wazee wa Darajani Chelsea The Blues, Nimezipata picha zinazowaonesha wachezaji wa Manchester United na Kocha Jose…
Vituo vya TV vya CNN na HBO vimekubali kuuzwa kwa mmiliki mwingine
Kampuni ya vifaa vya mawasiliano ya AT&T Inc imetangaza kukubaliana na kampuni ya Time Warner Inc deal ya dola za Marekani kiasi cha Bilioni 85.4, ikiwa ni malipo ya kuvinunua vituo vya…
VIDEO: Rais Magufuli ameeleza mambo aliyozungumza na Mfalme Mohammed VI wa Morocco
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo October 24 2016 amefanya mazungumzo na mgeni wake Mtukufu Mfalme wa Morocco Mohamed VI. Ziara ya mfalme huyo…
Video: Qboymsafi kutoka WCB anatualika kwenye hii Mugacherere
Mkali mwingine kutoka lebel ya WCB Qboymsafi ambaye anahusika kama designer kwenye mavazi anayoyavaa Diamond Platnumz anatualika leo kwenye video ya mdundo wake mpya wa Mugacherere aliowashirikisha wakali wengine kutoka…
Muda atakaokaa nje ya uwanja Blagnon wa Simba baada ya kupasuka
Mshambuliaji wa kimaifa wa Ivory Coast anayeichezea klabu ya wekundu wa Msimbazi Simba Fredrick Blagnon, Jumapili ya October 23 2016 alishindwa kumaliza mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Toto Africans…
PICHA 5: Huyu ndiye Mbwa mrembo kuliko wote duniani..!!
Kama ilivyo ahadi yangu kwako kila siku ni kuhakikisha haupitwi na chochote ukiwa karibu yangu. Kutoka nchini Sydney nimeipata hii ya Mbwa anayetajwa kuwa ndiye Mrembo zaidi kuliko Mbwa wote…
Umeona alichokipost Chris Brown kuhusu Wizkid Instagram?
Mtu wangu najua unafahamu Chris Brown na Wizkid walianza kuwa karibu wakati ambao Breezy alikwenda West Africa kufanya show na kumuita Wizkid jukwaani ambapo alifanya naye show live. Sasa nimeipata…
FIRSTFIVE: List ya kwanza ya wanasoka waliotajwa kuwania Tuzo ya Ballon D’Or
Leo Jumatatu October 24, 2016 Mtu wangu nakuletea List ya kwanza yenye majina ya wanasoka mastaa watakaowania tuzo ya mwanasoka bora wa Ballon D’Or. Tayari majina ya kwanza ya wanasoka…