VIDEO: Mayunga ameeleza alivyopewa wimbo siku moja kabla ya kurekodi na Akon
Mtu wangu ni kawaida yangu kila siku kukusogezea stori zote ambazo zinachukua headlines na leo october 24 2016 nimekusogezea hii ya Hit Maker wa mdundo Please Don't go Away Mayunga,…
U HEARD: Majibu ya Abubakar Mzuri baada ya kudaiwa kufumaniwa na mke wa mtu
October 24, 2016 Ndani ya U Heard ya Clouds FM amesikika msanii Abubakari Mzuri ambaye wiki iliyopita kupitia U Heard kulikua na stori yake juu ya kudaiwa kufamaniwa na mke…
Mahakama kuu Arusha yaahirisha hukumu ya kesi ya Ole Nangole
Mahakama ya Rufaa Tanzania Arusha leo October 24 2016 ilitarajiwa kutoa uamuzi wa rufaa iliyofunguliwa aliyekuwa mbunge wa Longido Onesmo Ole Nangole lakini hukumu hiyo imeahirishwa hadi pale mkurugenzi wa…
HEKAHEKA: Utani wa wajukuu msibani wazua balaa Temeke
October 24, 2016 Kupitia Leo Tena ya Clouds FM Gheah Habib ametulete hii Hekaheka iliyotokekea Temeke Dar es salaam hi ni baada ya wake wa marehemu kunyweshwa maji ya Mapovu…
PICHA5: Muonekano wa Rapper Young Dee baada ya kuingia Gym
Baada ya miezi minne Young Dee kurudi katika uongozi wake wa zamani Staa huyu ambaye anafanya vizuri kwenye midundo ya Hiphop nchini Tanzania ameamua kubadilisha muonekano wake na hapa nimekusogezea…
TP Mazembe wamethibitisha Ulimwengu kumaliza mkataba na msimamo wake
Klabu ya TP Mazembe ya Jahmhuri ya Kidemokrasia ya Kongo October 23 2016 ilitangaza rasmi kupitia tovuti ya klabu hiyo kuwa mtanzania Thomas Ulimwengu amemaliza mkataba na TP Mazembe, lakini…
VIDEO: ‘Naanzisha kitengo cha Intelijensia ambao wakikuangalia unalia mwenyewe’-Waziri Mwijage
Asubuhi ya October 24 2016 kipindi cha clouds 360 cha Clouds TV kilimkaribisha Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji, Charles Mwijage ambapo ameelezea mpango aliouweka ili kudhibiti uingizaji na utengenezaji wa bidhaa…
Video: Sababu za Mtu Chee kutoziachia project walizofanya na Young Dee
October 24 2016 Ayo TV pamoja na millardayo.com imekusogezea sababu walizotoa Mtu Chee kwanini hataziachia Project walizofanya na Youg Dee, Mtu Chee ni kundi la muziki kutoka Bongoflevani lilokuwa na…
PICHA: Mrithi wa kocha Hans van Pluijm wa Yanga kawasili Dar es Salaam
Siku 14 baada ya Dar es Salaam Young Africans kupitia kwa kaimu katibu mkuu wake Baraka Deusdedit atangaze kukanusha klabu hiyo kuwa na mpango wa kumfuta kazi Hans van Pluijm…
VIDEO: Hatari ya ziwa Rukwa kutoweka baada ya miaka 16, Serikali yachukua hatua
Waziri wa Mazingira na Muungano, Ofisi ya Makamu wa Rais January Makamba ameaendelea na ziara yake ya mazingira katika Mikoa 10 ambapo akizungumza na wananchi wa Kata ya Nankanga, Wilaya ya…