VIDEO: Maneno ya Waziri Mwijage kwa wanaosoma elimu ‘mseleleko’
Leo October 24 2016 kipindi cha clouds 360 cha Clouds TV kilikuwa na Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji, Charles Mwijage. Pamoja na kuzungumza mambo mbalimbali Waziri Mwijage amegusia suala la…
Habari kubwa zilizondikwa kwenye magazeti ya Tanzania October 24 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Tayari nimezikusanya na waweza kuzipata huko. https://twitter.com/millardayo/status/790383844293799936…
AyoTVMAGAZETI: Umeya K’ndoni, Ubungo vurugu tupu, Klabu ya JPM yamshusha cheo Mkuu wa Shule
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=03QhOklghNU ULIKOSA ALICHOZUNGUMZA PROF. LIPUMBA BAADA YA…
Magazeti ya Tanzania October 24, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
October 24 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. ULIMISS…
Ronaldo katimiza siku 38 bila kufunga goli Bernabeu Madrid ikiichapa Bilbao
Najua Jumapili ya October 23 2016 kulikuwa na michezo mingi ya Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya, mchezo kati ya Real Madrid dhidi ya Athletic Bilbao ulikuwa ni moja kati ya…
VIDEO: Magoli matatu ya Simba vs Toto Africans October 23 2016, Full Time 3-0
Wekundu wa Msimbazi Simba leo October 23 2016 walicheza mchezo wao wa 11 wa Ligi Kuu Tanzania bara dhidi ya Toto Africans ya Mwanza na kufanikiwa kuibuka na ushindi wa…
Tweet 15 za utani baada ya Mechi ya Manchester United Vs Chelsea
October 23, 2016 Nakuletea Tweet za utani kutoka kwa mashabiki wa Club kubwa duniani za Chelsea na Manchester United baada ya mchezo uliopigwa leo na mpaka mwisho wa mechi, Club…
VIDEO: Mourinho kakubali kipigo cha 3 EPL dhidi ya Chelsea Stamford Bridge
Jumapili ya October 23 2016 ndio siku ambayo kocha wa Man United Jose Mourinho alirudi tena Stamford Bridge kwa mara nyingine kucheza dhidi ya timu yake ya zamani ya Chelsea…
PICHA 7: Simba imepata ushindi vs Toto kwa mara ya kwanza baada ya mechi 6
Baada ya Jumamosi ya October 22 2016 kuchezwa michezo baadhi ya Ligi Kuu soka Tanzania bara, Jumapili ya October 23 2016 ilichezwa michezo ya miwili ya Ligi Kuu, wekundu wa Msimbazi…
Makamu wa Rais wa Simba katoa tuzo ya Kichuya leo October 23 2016
Jumapili ya October 13 2016 muda mchache kabla ya mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania bara kati ya Simba dhidi ya Toto Africans kuanza uwanja wa Uhuru Dar es Salaam,…