Kutana na mwanamke mnene kuliko wote duniani… Ana uzito wa kilo 500
Kazi yangu ni kuhakikisha kila siku nakuletea habari mpya na uhakika popote ulipo mtu wangu na nimekula kiapo kwako kulitekeleza hilo na leo nimeipata hii kutoka nchini Misri kuhusu Mwanamke…
Huyu ni msanii mwingine kutoka Afrika aliyesaini na Lebo ya Sony Music
Ijumaa ya tarehe 21 October 2016, Afrika kusini ikiwa ni tawi la Sony Music Entertainment, kampuni ya masuala ya Entertainment kwa upande wa Afrika, ilitangaza kumsaini msanii mwingine ndani ya…
Ilichokisema Mahakama ya Makosa ya Jinai ICC kuhusu maamuzi ya Afrika Kusini
Baada ya kupata taarifa kuhusu nchi ya Afrika Kusini kuwasilisha barua yake Umoja wa Mataifa juu ya kujiondoa kwenye Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC, Mahakama hiyo imeziomba…
AY,Diamond,Harmonize na Dj D Ommy washinda tuzo za AEA za Marekani.
Wakati Watanzania wengi macho na masikio yetu tukiwa tumeyaelekeza kwenye utoaji wa tuzo za MTVMama ambazo zimetolewa Afrika Kusini lakini usiku huo huo wa Oct 22 kuamkia Oct 23 nchini Marekani…
VIDEO: Wizkid, Dj Maphorisa, Dj Buckz, Emtee perfomance MTV MAMA 2016
Mwimbaji kutoka nchini Nigeria, Wizkid aliungana na Diamond, Dj Maphorisa, Sauti Sol, Emtee, Alikiba na Dj Buckz kutumbuiza kwenye tuzo za MTV MAMA 2016 zilizotolewa katika ukumbi wa Ticket Pro Dome Johannesburg…
Kuhusu Uwepo wa mafuta ya Diesel kwenye visima vya Maji Songwe Tanzania.
Kwenye vitu ambavyo inawezekana hukua ukifahamu au kufikiria kama kuna uwezekano wa kuwepo ni pamoja na hii issue ya upatikanaji wa mafuta aina ya Diesel kwenye visima vya maji Mkoani…
VIDEO: Hutataka kupitwa na video ya Future alivyotumbuiza MTV MAMA 2016
Rapper kutoka Marekani Future October 22, 2016 aliungana na wasanii wengine akiwemo Wizkid wa Nigeria, Diamond, Alikiba na wengineo kutumbuiza kwenye utoaji wa tuzo za MTV MAMA 2016 zilizotolewa katika…
VIDEO: Navy Kenzo waongea baada ya Tanzania kukosa tuzo MTV MAMA 2016
Ikiwa mwaka 2016 Tanzania imeandika historia ya kutoka kapa kwenye tuzo za MTV MAMA 2016 zilizotolewa 22 October 2016 kwenye ukumbi wa Ticket Pro Dome Johannesburg Afrika Kusini. Sasa kundi…
AyoTVMAGAZETI: Mambo 7 kutikisa treni reli ya kisasa, Utata Mamilioni ya Lipumba
AyoTV kila siku asubuhi inakuletea uchambuzi wa magazeti ya Tanzania kuhakikisha zote kubwa za siku unazipata, za leo ziko kwenye hii video hapa chini. https://www.youtube.com/watch?v=nnWQwfUto9E ULIKOSA ALICHOKIZUNGUMZA PROF. LIPUMBA BAADA YA…
VIDEO: Diamond Platnumz alivyotumbuiza kwenye MTV MAMA 2016
Mwimbaji Diamond Platnumz kutoka Tanzania alikuwa kwenye list ya waliotumbuiza kwenye utoaji wa tuzo za MTV MAMA 2016 zilizotolewa katika ukumbi wa Ticket Pro Dome, Johannesburg Afrika Kusini. Itazame hii…