Baada ya Future kumshambulia Ciara kwenye Twitter… kambi ya Ciara haijamuacha bure!
Mvutano kati ya Future na Ciara juu ya malezi ya mwanao, ‘Baby Future’ umezidi kuwa mkubwa, baada ya Future kumshambulia vikali Ciara, kambi ya Ciara haijakaa kimya wao pia wameongea…
AC Milan inamuhitaji tena Prince Boateng? haya ndio maamuzi yao..
Klabu ya AC Milan imemrudisha kiungo wao Kevin Prince Boateng kuendelea kukitumikia kikosi hicho kwa mkataba wa miezi sita ambao utaisha Juni 30, 2016. Boateng ambaye amezichezea klabu za Tottenham na…
Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)
Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri…
Trey Songz anaisogeza ya kwanza kwa mwaka 2016 kwenye video: ‘Blessed’ – (Video).
Baada ya kuisogeza kwetu mixtape yake mpya ‘To Whom It May Concern’ December 2015, staa wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Trey Songz anaisogeza kwetu official music video ya ‘Blessed’…
Rais Obama alivyoangusha machozi baada ya kuumizwa na mauaji ya silaha.. (+Video)
Ishu ya matukio mfululizo ya mauaji Marekani yakihusishwa matumizi ya silaha yamekuwa yakitawala vichwa vya habari za Marekani na duniani.. mjadala ukaibuliwa kwamba kuna sababu zote za msingi itengenezwe sheria…
Sio Wakenya wote wanasupport WaTz kufungiwa Instagram… kuna hawa waliopinga kwa mashambulizi!!
January 5 2016 niliisogeza kwako stori ya Wakenya iliyoweka headlines kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter ambapo watu wengi walianzisha mjadala wa kuwataka Watanzania wote wafungiwe matumizi ya Instagram kutokana…
Deni la MSD, waliovamia shamba la SUMAYE, Bomoabomoa, mafuriko…#MAGAZETINI
MWANANCHI Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki amewataka waliovamia na kujigawia maeneo ya watu wengine likiwamo la Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye na aliyewahi kuwa Naibu…
Mbunge mwingine kazikataa mil.90 za gari jipya, mipango yake ni hii…(+Audio)
Kasi ya Rais Magufuli katika kupambana na matumizi holele ya fedha za Serikali imeendelea kushika kasi hata kwa baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, Hapa nakukutanisha na Mbunge wa Arumeru…
Happy birthday Mr. Bean !! Leo ni siku yake, enjoy na vioja vyake kwenye video 3..
Jina lake kamili ni Rowan Atkinson, raia wa Uingereza ambaye ni staa wa movie na comedy pia duniani !! Unajua kitu kizuri kwa Mr. Bean anafanya comedy ambayo hata kama huelewi…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye MAGAZETI ya leo Tanzania January 6, 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…