VIDEO: Majibu yametoka kwa walioulizia ile Range Rover ya Wema Sepetu na kwamba imechukuliwa na mwenyewe
Kwenye stori za mastaa wa Tanzania zilizozungumzwa sana ndani ya wiki tatu zilizopita ni pamoja na hii, ishu kubwa ni kuhusu umiliki wa ile Range Rover ya mwigizaji Wema Sepetu…
URA yafanikiwa kutwaa Kombe la Mapinduzi, kwa kuichapa Mtibwa Sugar kwa goli hizi (+Pichaz)
Fainali ya 10 ya michuano ya Kombe la Mapinduzi imemalizika visiwani Zanzibar, kwa kuzikutanisha timu za Mtibwa Sugar ya Tanzania dhidi ya klabu ya URA ya Uganda. Mchezo huo uliopigwa…
Huu ni upendo mwingine wa Zanzibar huenda usiukute popote Tanzania (+Pichaz)
Zanzibar ni moja kati ya sehemu za Tanzania zinazovutia kwa utalii duniani, kuna mengi ya kujifunza kutoka Zanzibar, ukarimu, upendo wa watu na mapenzi ya kufanya ibada kwa kiasi kikubwa.…
Mbabe wa unga ‘El Chapo’ anavyofanya Mexico hawalali… stori gerezani mambo yako hivi !!
Niligundua uzito wa ishu ya Joaquin “El Chapo” Guzman pale ambapo mpaka Rais wa Mexico, Rais Enrique Pena Nieto alipost Tweet ya ushujaa wa kumkamata El Chapo !! Sasa leo ni kama…
Wakati unafurahia ushindi wa Samatta, wako wakali 10 waliokosa magoli ya wazi.. mpaka Ronaldo yumo !! (+Video)
Tanzania sio ya muziki pekeyake, sio ya Big Brother pekeyake, Mwanambagala Mbwanna Samatta kaionesha dunia kwamba japo Timu za Taifa hazisogei kwenye headlines za kimataifa lakini na sisi tumo. Unajua…
Sio kila parking iko salama, unaweza kukuta gari yako imegeuka barafu kama hii !! (Picha & Video)
Shabiki mmoja wa mpira wa miguu aliingia zake uwanjani Hamburg, New York Marekani…. akaingia zake ndani ili kujienjoy na watu wake game ya American Football !! Kutoka nje kakuta mambo ndivyo…
Hasira za mashabiki wa Cristiano Ronaldo baada ya kushindwa Ballon d’Or…
Usiku wa January 11 Staa wa Barcelona Lionel Messi aliandika historia nyingine baada ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or kwa mara ya tano akiwashinda wapinzani wake Cristiano Ronaldo pamoja na…
Katibu wa FIFA naye kaungana na Sepp Blatter pamoja na Michael Platin kufungiwa..
Katibu mkuu wa Shirikisho la soka duniani Fifa aliyekuwa amesimamishwa kazi Jerome Valcke ameondolewa rasmi kutoka kwenye wadhifa huo na shirikisho hilo. Mfaransa huyo, kwa sasa amesimamishwa kujihusisha na shughuli…
Wadogo wa Prof. Jay watafanya siasa? Mchizi Mox anarudi.. Pesa za COSOTA je? #255 (+Audio)
Iko mijadala wasanii wa Tanzania wanaendelea nayo kuhusu jinsi ya kuweka utaratibu wa wasanii hao kulipwa na vituo vya TV na Radio kwa jinsi ambavyo nyimbo zao zinapigwa… kuna nchi…
Mume kaua mke alafu kajipeleka mwenyewe Polisi Dar.. (Hekaheka +Audio)
Hekaheka ya Geah Habib leo kakutana nayo maeneo ya Kivule, inahusu ugomvi wa mume na mke uliosababisha kifo cha mwanamke. Majirani walishuhudia ugomvi lakini hawakujua sababu ya ugomvi kwa sababu…