Mbwana Samatta kaanza maandalizi ya kuelekea KRC Genk ya Ubelgiji na tuzo yake (+Pichaz)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta bado yupo kwenye headlines January 11, Samatta January 11 alikutana na Rais…
Picha tano za mishemishe za wasafiri kwenye stendi ya mabasi ya Moshi leo ilikuwa hivi
Kuna zile stori kwenye headlines za mjini kwamba kila mwisho wa mwaka ndugu zetu wachaga huwa wanafungasha safari kwenda zao Kilimanjaro kuhesabiwa !! Okay, ripota wa millardayo.com kafika stendi ya…
Mwasiti katusogezea Video yake mpya ‘Sema Nae’ ndani yumo Queen Darleen
Msanii Mwasiti amerudi kwenye headlines za burudani baada ya kuachia video ya ngoma yake mpya ‘Sema Nae’ ndani akiwa kamshirikisha staa mwenzake Queen Darleen. Karibu uitazame hapa mtu wangu. …
Midundo 20 iliyokamilisha chart ya Top20 #OnAIR jana January 10 2016 yote hii hapa.. (+Audio)
Najua nina watu wangu wa nguvu wanaifatilia chart ya ngoma 20 kali zilizofanya poa na kuingia kwenye Clouds FM Top 20… kama ya jana hukuipata, bado nahakikisha haujabaki nyuma na…
Video ya safari ya Rais Magufuli hospitali ya Muhimbili kumsalimia Frederick Sumaye.. (+Video)
Jumatatu January 11 2016 imenifikia ripoti nyingine ya Rais Magufuli kwenda hospitali ya Muhimbili kumjulia hali Waziri Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye. Hii hapa video ya sekunde 50, hapa Rais…
Picha 6 za Rais mstaafu Jakaya Kikwete alivyompongeza Mbwana Samatta..
Weekend iliyopita Tanzania iliingia kwenye historia baada ya mshambuliaji Mtanzania Mbwana Samatta kushinda tuzo ya mchezaji bora wa soka Afrika kwa wachezaji wa ndani. Pamoja na kupewa pongezi nyingi na…
Kilichonifikia kuhusu msiba wa Mbunge wa zamani aliyefariki kwenye matibabu Marekani.. #RIP
Mwaka 2016 unaanza kukiwa na moja ya mambo makubwa yanayosubiriwa ni kushuhudia Bunge jipya la Serikali ya awamu ya tano linaanza majukumu yake… kumekuwa na taarifa kuhusu kuumwa kwa mmoja…
Single ya kwanza ya J.Martins 2016 hii hapa “Ikwusigo?“….Audio
Staa wa muziki pande za Nigeria J. Martins kauanza mwaka 2016 kwenye headlines za burudani kwa kuachia single yake mpya “Ikwusigo?“. Utaisikiza hapa mtu wangu.. https://www.youtube.com/watch?v=2tsf-s1Q3Fg Unataka kutumiwa MSG za habari…
Nukuu 11 zenye msimamo wa Maalim Seif>> Uchaguzi kurudiwa, Magufuli, Salim Jecha na mengine..
Siku chache baada ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu Tanzania bara pamoja na visiwani Zanzibar, Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Jecha Salim Jecha alitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi huo…
Sio Obama peke yake!! hawa ni viongozi wengine waliowahi kumwaga machozi hadharani..
Wiki iliyopita Rais wa Marekani Barack Obama aliingia kwenye headlines baada ya kutokwa machozi wakati akizungumzia hali ya matumizi ya silaha Marekani, machozi yalimtoka alipokuwa akisimulia kuhusu shambulio la ufyatuaji risasi…