Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Sports

Alichosema Ashley Cole kuhusu tuhuma za ushoga

MAPEMA wiki iliyopita uvumi ulisambaa nchini England kwamba gazeti maarufu la The Sun lilikuwa mbioni kuchapisha stori ndefu iliyohusu kashfa ya ushoga ya mlinzi mmoja wa sasa wa kushoto wa…

March 25, 2014
Sports

Mahakama yaiagiza TFF kulipa Milion 106,kisa Yanga.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imepokea amri ya Mahakama Kuu (Kitengo cha Kazi) kukamata sh. milioni 106 za klabu ya Yanga kutokana na mapato ya mlangoni kwenye mechi…

March 25, 2014
MixStori Kubwa

Jitihada zinaendelea kuokoa maisha ya huyu mtoto alie na risasi kichwani baada ya shambulio Mombasa

Ripota wa millardayo.com na AyoTV nchini Kenya Julius Kipkoich amenitumia hii taarifa inayo muhusu huyu mtoto aitwae Satrin Osinya ambae bado anarisasi kichwani mpaka sasa kutokana na shambulizi lililofanywa kanisani…

March 25, 2014
Habari za MastaaStori Kubwa

List imetoka, wanaowania tuzo za KILI 2014 ndio hawa, zilizoachwa ziko hapa pia

Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limetangaza rasmi matokeo ya mchakato wa kuwapata wateule rasmi yaani ‘nominees’ wa vipengele 34 vya tuzo za muziki Tanzania. Kabla ya kuanza kutajwa kwa wanaowania…

March 25, 2014
Mix

Kuhusu shambulizi la Kanisa Mombasa na mtoto ambae mpaka sasa ana risasi kichwani

Idadi ya waliofariki kutokana na shambulizi la Kanisa Mombasa Kenya March 23 2014 imefikia sita ambapo wote hao vifo vyao vimetokana na majereha ya risasi huku wengine tisa waliokua wakipata…

March 25, 2014
Magazeti

Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo March 25.

Hizi ni dakika 14 za kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa mbalimbali za magazeti ambayo nimekurekodia kwa ajili ya kusikiliza na kuchambuliwa na Gerald Hando kupitia Power Breakfast. 88.0 Clouds Fm inasikika…

March 25, 2014
Magazeti

Kurasa za mwanzo na mwisho Magazetini leo March 25 2014

Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.

March 25, 2014
Habari za MastaaStori Kubwa

Picha 4 zilizofanya mwimbaji Nyota ndogo kuandamana hivi na Wanawake kumpinga huyu msanii mwenzake

Colonel Mustapha ni miongoni mwa Wasanii wa longtime kidogo kwenye game ya muziki Kenya toka enzi hizo akiwa kwenye kundi lililotoa hit single yenye maneno ‘bibi yake mufupi, kijana murefu…

March 24, 2014
MixStori Kubwa

Picha 9 za jinsi taarifa mpya za ndege ya Malaysia zilivyopokewa na ndugu na msg waliyotumiwa.

Waziri wa Malaysia amebadilisha vichwa vya habari duniani kwa kusema ripoti ya shirika moja la Uingereza inadhihirisha kwamba ndege ya Malaysia iliyopotea zaidi ya siku 15 zilizopita, ilianguka kwenye bahari…

March 24, 2014
Mix

Kuhusu kamati 12 zilizoundwa na Sitta na hotuba ya JK kujadiliwa.

Kufuatia kuwepo kwa hoja mbalimbali za wajumbe wa Bunge maalum la katiba kuhusu kukinzana kwa Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa wakati wa uzinduzi wa bunge hilo na rasimu ya…

March 24, 2014
1 2 … 5,031 5,032 5,033 5,034 5,035 … 5,151 5,152
- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?