Picha mitandaoni, lakini ni kweli Linex kaoa ??!!! Sikiliza majibu yake sasa.. (#UHeARD)
Kama vile ambavyo huenda na wewe mtu wa nguvu umekutana na pichaz mitandaoni, Linex ndani ya suti yake kali kabisa, mrembo ndani ya gauni la nguvu !! Ilikuwa ndoa kabisa au…
Kasi ya utendaji inatambaa mpaka Kanisani, Anglikana Mwanza wana hii ya mil. 500..(+Audio)
Kutoka 88.1 Mwanza stori kubwa ni ile ya Kanisa la Anglikana kuamua kumfukuza Askofu wa Kanisa hilo kwa sababu ya matumizi mabaya ya madaraka na fedha, ripota wa millardayo.com amekutana…
Unajua maeneo 15 ya India ambako ni MARUFUKU kupiga ‘selfie’? Sababu ni hii..
Najua nina watu wangu wao na selfie damdam, taarifa ikufikie kwamba kuna maeneo imebidi selfie zipigwe marufuku kwa ajili tu ya usalama wa watu. Sababu ya Serikali kuamua kuingia kati…
DC Zainabu Telack amezipata taarifa za mtu kuvuliwa nguo wilayani kwake Sengerema?..(+Audio)
Headlines za watu kuvuliwa nguo hadharani kama zilikuwa zimepotea kwa siku kadhaa, Pamoja na kuwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye aliwahi kusikika kuhusu wanaovaa nguo fupi…
Waziri atoa saa 48 kwa RC Mwanza, Jk na Samatta, Serikali yafuta umiliki wa mashamba..#MAGAZETINI
MWANANCHI Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete amempongeza mwanasoka bora wa Afrika, Mbwana Samatta kwa mafanikio aliyopata na sasa amemtaka alenge kucheza ligi kubwa za Ulaya ili Watanzania…
Zisome pamoja #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania January 12, 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Urais wa Shein Z’bar? ya Maalim Seif? Magufuli hospitali kwa Sumaye? Msiba wa Mbunge.. #Uchambuzi
Hii ni sehemu ya uchambuzi wa stori kubwa kwenye kurasa za Magazetini uliofanya redioni Clouds FM wakati Powerbreakfast ikiwa #OnAIR. Rais wa Zanzibar Dk. Shein leo ataongoza watu mbalimbali kwenye…
#StoriMAGAZETINI January 12 2016 Tanzania, Udaku, Hardnews na Michezo kuna hizi leo
Good Morning mtu wangu !! January 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti 16 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu..…
Hiki ndio kinachomtia hasira Louis van Gaal ndani ya Man United …
Kocha ambaye bado anatajwa kuwa siku zake zinahesabika kuendelea kusalia ndani ya Man United Louis van Gaal, amerudi kwenye headlines na kauli ambayo huenda imewashangaza wengi. Louis van Gaal amekuwa…
Siku moja baada ya kutolewa Kombe la Mapinduzi, Simba wameamua hivi kuhusu kocha wao Kerr …
Uongozi wa klabu ya Simba usiku wa January 11 kuingia 12 unatajwa kufanya maamuzi magumu, kutokana na mwendo wa timu yao kwa sasa, stori kutoka mtandao wa mwandishi na mchambuzi…