Ijue hukumu aliyopewa Kanye West baada ya kumshabulia paparazi
Mwaka 2013 kwenye airport ya LAX Kanye West alihusishwa na fujo ambapo alimshambulia paparazi mmoja aliyekuwa akijaribu kumpiga picha Kanye West. Fujo hizi zilinaswa kwenye camera mbalimbali za mapaparazi waliokua…
Umesikia kilichomkuta Belle Nine Mafinga?sikiliza hapa.
Kupitia You heard ya leo March 18 Soud Brown ana-amplify taarifa za kuwekwa mahabusu Belle Nine kisa kikiwa ni kuchukua pesa za show kisha kutotokea kwenye show hiyo ambayo ilikuwa…
Hili ndilo jibu la Haji Ramadhani kwenda kwa Ney wa Mitego.
Haji Ramadhani ni msanii aliyetajwa kwenye line za wimbo wa Salaam zao wa Ney wa Mitego kwenye wimbo ambao baadhi ya mashairi ya wimbo huo yanawataja yeye Haji Ramadhan na…
Kilichoandikwa twitter wakati Jaji Warioba akizungumza kwenye bunge la katiba.
Hii ni sehemu tu ya kilichoandikwa kwenye twitter na Watanzania mbalimbali wakiwemo wabunge Dr. Faustine mbunge wa Kigamboni, Zitto Kabwe wa Kigoma Kaskazini, Naibu waziri January Makamba ambae pia ni…
Sikiliza jinsi Mama wa kambo alivyokuwa akimtesa mtoto huyu,kupitia Hekaheka ya leo.
Baadhi ya mama wa kambo wamekua wakiwatendea vitendo visivyo sawa kwa watoto au mtoto anaemkuta tayari kazaliwa kwa mumewe,sasa hii imetokea Msumbiji baada ya mtoto kushindwa kuvumilia mateso ameamua kuja…
Video ya Russell Simmons akimzungumzia Flaviana Matata
Russell ni mwanzilishi wa lebo kubwa ya muziki wa hiphop duniani ya Def Jam, akiwa ni mfanyabiashara mweusi mwenye mafaniko kwenye biashara mbalimbali ikiwemo ile ya mavazi ya Phat Farm…
Amissi Tambwe na rekodi hii kwenye goli 19 alizofunga VPL
STRAIKA wa Simba raia wa Burundi, Amissi Tambwe ameweka rekodi nyingine ya pekee ya kufunga mabao 19 katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa staili ya aina yake. Katika…
Ni kawaida kwa mkazi huyu wa Kisumu kukuta hili jeneza nje ya nyumba yake
Mke anasema hii sio mara ya kwanza kwa wao kukuta jeneza dogo likiwa na paka ndani yake ambapo wakati uliopita alichukua hilo jeneza na kwenda kuchoma kisha baada ya siku…
Hii ndio rekodi mpya aliyoiweka Cristiano Ronaldo kwenye La Liga
Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza kwenye Ligi Kuu Hispania kufikisha mabao 25 kwa misimu mitano mfululizo. Mshambuliaji huyo wa Real Madrid na Ureno amekuwa moto kwa kutikisa nyavu tangu…
Kapombe kurudi Simba kwa kiasi hiki cha pesa – Hans Pope ahusika
SIMBA ipo katika hatua za mwisho za kumrudisha beki wake wa zamani, Shomari Kapombe, baada ya klabu ya AS Cannes ya Ufaransa inayommiliki kwa sasa kuchoshwa na usumbufu wake. Katika…