#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania January 7, 2016
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Safari za nje TZ? Nauli mwendokasi? ‘Bomoabomoa’ Dar na Moshi? Rais JPM kajifungia Ikulu, ‘majipu’? (+Audio)
Alhamisi January 07 2016 imeanza na huu uchambuzi wa stori kubwa za Magazetini, hizi ni baadhi yake na sauti niliyokurekodia. Oparesheni ya kutimua wageni wasio na vibali kuanza leo, bomoabomoa…
Gumzo ni nauli za mabasi mapya Dar, ijue tofauti ya mabasi ya Tanzania vs Brazil kwenye nauli
Kama mpango wa nauli za mabasi yaendayo haraka Dar utakua ni kulipia nauli kwa safari moja basi kutakua kuna tofauti kubwa kati ya mfumo huu wa kulipia nauli Dar na…
January 7 2016 magazeti 20 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo
Good Morning mtu wangu !! January 07 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 20 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea…
Video ya goli la Simba vs URA na kosakosa za mechi yenyewe Mapinduzi Cup 2016
Kutoka kwenye michuano ya kombe la Mapinduzi mwaka 2016 naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda, ni goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37 baada…
Picha za Rais mstaafu JK alipokwenda Ikulu January 6 2016 + maelezo mafupi.
Rais mstaafu wa awamu ya nne Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete alikwenda Ikulu Dar es salaam January 6 2016 kukutana na Rais Magufuli ambapo taarifa iliyotolewa na Ikulu imesema kwenye mazungumzo…
Jiji la Mwanza halijasahau wala kuwafukuza Wamachinga, mpango wao unaofatia huu hapa..!!
Hii ni kwa watu wangu wanaofanya biashara zao katikati ya mji iwe ni pembeni ya barabara au mbele ya maduka 88.1 Mwanza, machinga endelea kuomba mipango ikamilike mtu wangu…ni kutoka…
Baada ya kutoa sare mechi ya kwanza, hivi ndivyo Simba ilivyowaadhibu URA ya Uganda (+Pichaz)
Bado hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar inazidi kushika kasi kila kukicha, baada ya mchana wa January 6 kupigwa mchezo wa tatu wa Kundi A lenye…
Nimemuuliza Daktari kuhusu ile ya Wanawake wenye maumbile makubwa kuzaa watoto wenye akili..?(+Audio)
Kumekuwepo na taarifa kwenye Magazeti na mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu Wanawake wenye maumbile makubwa wana nafasi kubwa ya kuzaa watoto wenye uwezo wa kiakili, hapa kwenye hii video chini nakukutanisha na jibu…
Mtanzania mmoja pekee ndio kabaki kwenye Top 10 ya Trace Tv
Tayari nimezikusanya Top 10 za Urban Hit January 6 2016 kutokea kituo cha kimataifa nchini Ufaransa Trace Tv, zote unazipata hapa chini. 10.DRAKE-HOTLINE BLING 9.TIMAYA FT. DON JAZZY- I CONCUR…