Hat-trick ya Giroud yaipeleka Arsenal 16 bora, Cheki matokeo ya mechi za UEFA Dec 9 na list ya 16 bora (+Pichaz&Video)
Michezo ya kuhitimisha hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya imeendelea tena usiku wa December 9 kwa kupigwa mechi nane baada ya usiku wa December 8 kupigwa michezo…
Dakika 8 za Augustino Mrema kuhusu Rais Magufuli, umri wake na kesi Mahakamani
Augustino Lyatonga Mrema alikua mgombea Ubunge 2015 jimbo la Vunjo Kilimanjaro ambalo lilichukuliwa na James Mbatia wa NCCR, kwenye hii audio hapa chini ukibonyeza play utamsikiliza kila alichoongea ikiwemo kumpigia debe Dr.…
Video ya bomoabomoa ya Ubungo Dar es salaam Dec 9.
December 9 2015 ilikua ni siku ya uhuru wa Tanzania ambayo Rais John Pombe Magufuli aliamua iwe ni siku ya watu kufanya usafi kwenye maeneo ya ofisi zao, majumbani na…
Tazama video ya dakika 14 ikimuonyesha Rais Magufuli akifanya usafi Dar es salaam Dec 9 2015
Tayari nimekusogezea video ikimuonyesha Rais John Magufuli na Watanzania wengine walivyoshiriki katika siku ya usafi Tanzania leo Dec 9, 2015. Unayapata yote kwa kubonyeza Play hapa chini. Unataka kutumiwa MSG…
Picha za Mwanza nao walivyoungana kusafisha Jiji lao #UsafiDAY… (+Pichaz)
Siku inaelekea kuisha lakini bado ripoti za #UsafiDAY zinazidi kunifikia, tumeona ya kona za Dar es Salaam, Songea na sasahivi ni zamu ya Rock City Mwanza City !! Nako mambo…
Jibu la Ronaldo baada ya kunong’onezana na kocha wa PSG, ni kweli anahamia PSG? Jibu lipo hapa …
Headlines za staa wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo kama ataendelea kuitumikia klabu hiyo au ataihama izmechukua nafasi. Sababu kubwa zinatajwa ni namna mwenendo wa timu yake ulivyo sasa, wengi…
Zipate sentensi 3 za Rais MAGUFULI baada ya kukamilisha kwa shughuli ya usafi Dar….
Ikiwa leo Tanzania imeingia katika headlines za usafi Dec 9 badala ya kusheherekea sikukuu ya Uhuru, sasa Rais John Pombe Magufuli kaandika hizi sentensi kupitia ukurasa wake wa twitter. ‘Watanzania…
Baada ya Pique wa Barcelona kuendelea na kauli zake za kejeli kwa Real Madrid, hizi ni kauli za Alvaro na Ronaldo …
Beki wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania Gerard Pique ameonekana kuwa na tabia kichokozi kwa wachezaji wa timu ya Real Madrid ya Hispania ambao ni wapinzani wa jadi wa…
#UsafiDAY ni kila kona Tanzania, Songea nako mambo ni moto !! Mkuu wa Mkoa na watu wake.. (+Picha)
Ile #UsafiDAY sio Dar es Salaam pekeyake mtu wangu, imeihusu Tanzana kwa ujumla… kwa sababu aliyeagiza usafi ni Rais wa nchi, basi nakuhakikishia kwamba kila kona mzigo umepigwa tena kwa…
Kalapina kaguswa na kazi ya Rais Magufuli… karekodi huu wimbo unaitwa ‘Magufuli Balaa’ (+Audio)
Aliyekua mgombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha ACT Wazalendo na msanii wa Hiphop Tanzania, Kalapina ameamua kutumia zaidi ya saa 48 kuingia studio na kuandika wimbo unaomuhusu Rais Magufuli……