Kumbe Dullysykes ilikua awe Mwanajeshi?ilikuaje hakwenda Jeshini tena?Majibu haya hapa.
Zipo stori ambazo huwa zinazungumzwa na kubaki kwenye kumbukumbu za Maisha yetu labda kutokana na kile ambacho uliamini kilikua sahihi kwa wakati huo,Leo Mkongwe kwenye muziki wa Bongo Fleva Prince…
Dakika 6 za Barnaba na alichokishuhudia kwa Jose Chameleone studio usiku
Kujua yote haya aliyoyaona Barnaba unaweza kubonyeza play kwenye hii video hapa chini… haya yote Barnaba aliyaona kwa Jose Chameleone baada ya wawili hawa kuingia kwenye studio ya Barnaba Dar…
Picha nne za The Game zilizosababisha Instagram kutoa onyo la kufuta account yake!!
Rapper aliyekuwa anaunda kundi la muziki la G Unit, The Game aliingia kwenye headlines siku chache zilizopita baada ya kupost picha akiwa nusu mtupu kwenye page yake ya Instagram, lakini…
Yamoto Band wanaikamata Nigeria time hii wako na Yemi Alade…(Audio)
Baada ya kufanya vizuri kwenye hit single ya Cheza kwa Madoido sasa time hii Yamoto Band wamefunguka na kusema kuwa tutarajie collabo mpya waliyoifanya na msanii kutoka Nigeria Yemi Alade.…
Breaking: Waziri mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim kaamuru waliohusika na hii wakamatwe na Polisi.
Ni headlines ndani ya kazi ya Rais mpya kwenye awamu ya tano ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli ambaye kila siku amekuwa kwenye headlines kwa kukata…
Chris Brown anaisogeza ‘Fine By Me’ kutoka kwenye Album yake mpya – (Audio).
Baada ya kutoa performance iliyowafuraihsa mashabiki wake wengi kwenye kipindi cha The Tonight Show, Chris Brown amerudi kuzikamata headlines za weekend hii na single nyingine inayopatikana kwenye Album yake mpya…
Nuh Mziwanda alivyotaka kuingizwa kwenye biashara ya dawa za kulevya
Najua kuna wakati unatamani kufahamu changamoto wanazopitia wasanii wa Bongo Fleva sasa time hii nakusogezea stori ya Nuh Mziwanda ambaye yeye amefunguka na kukiri kukutana na changamoto ya kutaka kujihusisha…
BreakingNews: Ziara nyingine ya kushtukiza bandarini Waziri mkuu Majaliwa….
Hii inakuwa ziara ya tatu kwa viongozi wa juu wa Tanzania kufanya Ziara za kushtukiza katika ofisi na wizara mbalimbali za Serikali. Tulishuhudia siku ya pili baada ya Rais Dr.…
Milango ya Cinema Dar na Arusha leo ziko hizi kali saba, ya Jennifer Lawrence ndani……..
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es salaam na Arusha ratiba ya movie na Trailers zake nimekuwekea hapa mtu wangu. Location ni…
‘Hashtag’ mpya ya Rais Magufuli ilivyokamata Twitter!
Utendaji kazi wa Rais Dk. John Magufuli umekuwa topic kubwa sana kwenye mitandao mbalimbali ya Tanzania na nchi za jirani… Mwanzoni nilikusogezea tweets za Wakenya zikimgusa Rais Magufuli kwenye kona…