Full Time ya mechi zote 6 za Tanzania bara Oct 17! nani kapiga nyingi? msimamo wa ligi je?
Ni mechi za ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ambapo leo October 17 2015 zilichezwa mechi sita kwenye viwanja tofauti huku Stand United ikiongoza kwa kuwa timu iliyoshinda goli nyingi…
Full Time ya Yanga Vs Azam FC October 17 (+Pichaz)
October 17 ndio siku ambayo Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, uwanja wa Taifa Dar Es Salaam ulipigwa mchezo ambao uliamua nani…
Picha za marehemu Deo Filikunjombe na wengine kwenye ajali ya Helikopta walivyoagwa leo Dsm.
Octoba 15 2015 taarifa ya majonzi ilitufikia kuhusu kifo cha mbunge wa Ludewa Deo Haule Filikunjombe na aliyekuwa Baba mzazi wa meya wa Ilala, William Silaa baada ya kupata ajali ya helikopta…
Australia wanahalalisha matumizi ya Bangi? Hiki ndio kinachofatia kwa sasa..
Kuna idadi kubwa ya Majimbo Marekani wao hawana tatizo kabisa na masuala ya Bangi… imehalalishwa na inapatikana Madukani kama bidhaa nyingine za kawaida, sio nchi nyingi ambazo zimekubaliana kuhalalisha Bangi,…
Utamfahamu vizuri Marehemu Bi Kidude kwenye Filamu, hiki hapa kipande cha Trailer ya dakika 4.. (Video)
RIP Bi Kidude… Jina lake bado lina uzito mkubwa sana Afrika na ataendelea kukumbukwa kama Legend wa Muziki, April 17 2013 ilikuwa siku ya huzuni baada ya kuenea kwa taarifa juu…
Magazeti ya Tanzania leo October 17, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Octoba 17, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Dakika 6 za maneno ya mwisho ya marehemu Deo Filikunjombe
Deo Filikunjombe alikua mbunge wa Ludewa (CCM) ambaye alipata ajali ya Helikopta kwenye eneo la Selous na kufariki jioni ya October 15 2015 akiwa na watu wengine watatu akiwemo baba…
Baada ya kupewa adhabu na FA, Jose Mourinho kaamua maamuzi haya…
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ambaye yupo katika wakati mgumu kutokana na mwenendo mbovu wa timu yake. Mourinho ambaye amepigwa faini ya pound 50000 na kufungiwa mchezo mmoja…
Isikupite hii video walivyopokelewa Tanzania Diamond, Vanessa na Ommy Dimpoz baada ya tuzo za AFRIMMA.
Tuzo za AFRIMMA ni tuzo ambazo zimeasisiwa na Mnigeria ambaye Marekani yamekua makazi yake kwa muda mrefu tu na tuzo hizi zimekua zikifanyika kwa mara nyingine tena ndani ya ardhi ya…
Dakika 6 za CCM Mbeya na UKAWA Mwanza ! yanayomuudhi Kinana.. Lowassa waliomsubiria hotelini (audio)
Zimebaki siku tisa tu mpaka kuifikia October 25 2015 siku ya uchaguzi mkuu Tanzania ambao upo kwenye headlines na CCM, UKAWA na ACT WAZALENDO pamoja na vyama vingine vinavyoshiriki. Post…