Wafungwa wailemea Serikali, Mauaji ya mlinzi TANAPA, Bei ya umeme kushuka, Hali ya joto…#MAGAZETNI
HABARILEO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angella Kairuki ameitaka Idara ya Uchambuzi na Ushauri wa Kazi – Utumishi, kuwianisha mishahara ya…
Picha 7 za Mwanza walivyoanza kufanya shopping kwenye mall mpya ya Rock City
Watu wa Mwanza kwa mara ya kwanza December 19 2015 walifanya shopping kwenye mall ya kwanza kujengwa kwenye jiji lao iitwayo "Rock City Shopping Mall" ambayo ilijengwa kwa zaidi ya miaka miwili.…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania Desemba 20, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Mtu wa nguvu na watu wangu wa chuo Jana Dec 19 #TIGOuniversityVIP
Tigo imekua ikitoa nafasi za watu wa nguvu kwenye vyuo vya UDSM, IFM, CBE- DAR, Utumishi Mtwara na Mzumbe Morogoro kuenjoy weekend zao na marafiki baada ya kushinda kwenye droo…
Magazeti ya Tanzania December 20 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 20 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na instagram…
Ommy Dimpoz alivyotukutanisha gorofa ya 21 katikati ya Dar es salaam
Mwimbaji wa bongofleva Ommy Dimpoz aliwakutanisha Watanzania December 18 2015 kwenye gorofa ya 21 katikati ya jiji la Dar es salaam kuwaonyesha video yake mpya inaitwa 'achia body' , kutazama…
Tumealikwa kuitazama video mpya ya ‘Nagharamia’ ya Alikiba na Christian Bella hapa !
Ni wimbo wa pamoja wa Alikiba na Christian Bella na video ilifanywa Kenya na director ni Enos... itazame hapa chini alafu tuachie comment yako umeionaje na itawafikia. https://www.youtube.com/watch?v=RlCNsPN91s0
Jingine jipya la Waziri mkuu Majaliwa kwenye mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam
December 19 2015 Waziri mkuu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alifanya ziara nyingine kutazama walikofikia wanaomalizia ujezi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar es salaam,…
Duniani wawili wawili? unavyoona hawa wanafanana na Rooney, C. Ronaldo na Messi?
Kwa upande wa Tanzania tumezoea kuona team ya XXL ya Clouds FM kuandaa show ya After School Bash kwa ajili ya wanafunzi kuenjoy baada ya kupata muda wa kupumzika kutoka shule…
Video ya magoli yote manne ya Yanga Vs Stand United Dec 19 2015
December 19 2015 kwenye game ya ligi kuu Tanzania bara Yanga vs Stand United uwanja wa Taifa Dar Es Salaam ambapo hadi dakika 90 zinamalizika Yanga 4 – 0 Stand United, Matokeo ambayo yaliifanya Yanga kutimiza jumla ya point…