Baada ya kumtimua Jose Mourinho, Chelsea imetangaza kocha wa muda wa timu yao ….
Uongozi wa klabu ya Chelsea December 16 iliripotiwa kuweka kikao cha dharura kujadili mwenendo wa timu yao kwa sasa, Chelsea baada ya kukaa kikao hicho cha bodi, December 17 walitangaza…
Stand United wakutana na kipigo cha hat-trick ya Tambwe, cheki matokeo ya Ligi Kuu December 19 (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo December 19 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali Tanzania. Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu soka…
Top 10 ya news kutoka kwenye YouTUBE ya Millard Ayo wiki hii
10. MSANII WA BONGO FLEVA ALIYEITIWA MWIZI KINONDONI DSM. https://www.youtube.com/watch?v=t6Q8MI7ritQ 9. DIWANI WA CHADEMA ALIYEKUBALI KASI YA MAGUFULI https://www.youtube.com/watch?v=KgDzMQOwblc 8. KWANINI MR NICE ANAFANYA MUZIKI KWA NYODO https://www.youtube.com/watch?v=Kte8lthy1KE 7. MLUGALUGA…
Picha 20 za Waziri Mkuu alivyokagua barabara za mwendokasi Dar..
Waziri Mkuu Majaliwa leo amefanya ziara ya ukaguzi wa barabara na vituo mbalimbali vya mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam. Katika ukaguzi huo Waziri Mkuu ameagiza mabasi hayo yaanze…
Witnesz amekuja na ujio mwingine December hii, kitu ni ‘Buku Jero’ (+Video)
Kama unakumbuka kulikuwa na mashindano ya Pop Stars miaka kadhaa iliyopita, majina matatu yakaibuka na ushindi alafu likaundwa kundi la 'Wakilisha'... hapo alikuwepo Witnesz, Shaa na marehemu Langa. Wakilisha haijasikika…
Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa..
December 18 2015 nilikusogezea ripoti kutoka Iringa Tanzania, ilihusu ajali ya basi la abiria la Kampuni ya New Force Ltd ambalo lililongana na lori la mbao lilibeba mbao kutoka Njombe…
Mabibi na mabwana tumealikwa na Ben Pol kuitazama hapa video yake mpya ‘ningefanyaje’
Staa wa R'n'B Tanzania ambaye ni mshindi wa tuzo za KTMA Ben Pol ametuletea video mpya ya single ya 'ningefanyaje' aliyowashirikisha Avril na Rossie M, video imefanywa South Africa na…
Hii ndio kali yenyewe, unakojolea ukuta alafu mkojo unakurudia mwenyewe (+Video)
Kama una tabia ya kujibana kona alafu unajisaidia haja ndogo, mambo yanaweza kukuharibikia kona yoyote !! Nasubiri kuona hii kitu kwa hamu sana, itapunguza matangazo yaliyoandikwa 'USIJISAIDIE HAPA, UKIKAMATWA FAINI…
Kutoka Songea Pichaz 6 za maandalizi ya timu za Maji Maji FC na Azam FC kuelekea mchezo dhidi yao
Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu soka Tanaznia bara kati ya Maji Maji FC ya Songea dhidi ya klabu ya Azam FC ya Dar Es Salaam, imenifikia ripoti ya mazoezi mwisho…
Stori na utani wa Rais Magufuli na watu wake enzi hizo kabla ya Urais, tazama jamaa alivyomwambia agombee Urais
Kuna wakati unajikuta unaelekea njia ambayo hujaipanga kwenye maisha yako lakini kumbe Mungu alikupangia huko siku nyingi tu,... jina la Dk. John Pombe Magufuli huenda halikupewa nafasi kubwa sana na watu…