TP Mazembe yapokea kipigo klabu Bingwa Dunia, Samatta na Ulimwengu kwenye rekodi hii (+Pichaz)
Michuano ya klabu Bingwa Dunia ilianza December 10 2015 katika ardhi ya Japan, hii ni michuano ambayo inatafuta Bingwa wa Dunia kwa ngazi ya vilabu, kwa upande wa bara la…
Mwaka 2015 nimepata pesa nyingi kwenye muziki kuliko miaka mingine – Mr Blue
Jina lake ni Herry Samir lakini kwenye muziki tunamuita Mr Blue. Mwaka 2015 huyu jamaa hawezi kuusahau kutokana na kuwa na vitu muhimu kwenye maisha yake. Kikubwa na cha kwanza…
Jux aelezea jinsi alivyoandikiwa One More Night na Walter Chilambo
Sasa hivi kitu kipya kutoka kwa Jux ni audio na video ya One More Night. Jux akiongea na millardayo.com amesema kwamba ameamua kuimba ngoma ya mapenzi kwa idea ambayo hajawai…
Kumbe Yaya Toure asingekuwa mwanasoka angefanya kazi hii..
Kila mtu ana kipaji chake katika maisha..wapo waliotamani kufanya hivi lakini mwisho wa siku wakajikuta wanafanya kitu kingine kabisa mbacho hawakudhamiria kufanya. Kwa mchezaji wa Manchester City na timu ya…
Watanzania wanne walioshinda tuzo siku ya msanii Dec 12 2015 Tanzania
Ni kutoka Dar es salaam usiku wa December 12 2015 ambapo zilitolewa tuzo za heshima kwenye siku ya msanii, details zote zipo kwenye hii video hapa chini.. https://www.youtube.com/watch?v=vTQ69P3sOb0 Unataka kutumiwa…
Mrembo wa Tanzania kwenye taji la Miss Universe na Vazi la jioni..Pichaz
Leo nakukutanisha na warembo 7 wanaowakilisha nchi mbalimbali za Afrika kwenye stage ya Miss Universe zitakazofanyika Dec.20 katika ukumbi wa Planet Hollywood Las Vegas Resort & Casino katika jiji la…
Video ya magoli ya Azam FC vs Simba Dec 12 2015! Full Time 2-2
December 12 2015 ilikuwa siku nyingine kubwa kwa mashabiki wa soka la bongo, kwani ndio siku ambayo ulipigwa ule mchezo wa Azam FC dhidi ya Simba uwanja wa Taifa Dar…
Umeme kushuka bei, Mawaziri wa JPM, wakwepa kodi hadharani, Uchaguzi Arusha…#MAGAZETINI
HABARILEO Makampuni 15 yaliyokwepa kodi baada ya kutorosha makontena yao, yamejisalimisha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), lakini yameshindwa kulipa kodi ndani ya siku saba za msamaha wa Rais John Magufuli.…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye MAGAZETI ya leo Dec.13 ya Tanzania Septemba7, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Ni time nyingine kwa wanavyuo UDSM, CBE , IFM kwenye #TIGOuniversityVIP…(Picha)
Tigo imekua ikitoa nafasi za watu wa nguvu kwenye vyuo vya UDSM, IFM, CBE- DAR, Utumishi Mtwara na Mzumbe Morogoro kuenjoy weekend zao na marafiki baada ya kushinda kwenye droo…