Magazeti ya Tanzania December 13 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 13 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na instagram…
Pichaz jinsi kilivyohappen kwenye shangwe za After Skul Bash…..
XXL ya cloudsFM kila mwaka hufanya party ya wanafunzi wote waliofunga shule ikiwa ni pamoja na wa shule ya Msingi,Sekondari,kwa pamoja party hii inaitwa After skul Bash,hii inaendelea sasa hivi…
Ujumbe wa Mario Balotelli kuhusu Euro 2016 unaoshangaza wengi !!!
Kuelekea michuano ya Euro 2016 mshambuliaji wa Liverpool aliyepo kwa mkopo katika klabu ya AC Milan ya Italia Mario Balotelli, ameingia katika headlines baada ya kuandika ujumbe ambao hadi sasa…
Pichaz 20 za maadhimisho ya siku ya msanii Tanzania pamoja na washindi wa tuzo nne za heshima …
Siku ya msanii ni siku maalum ambayo Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) lilibuni siku hiyo kwa mara ya kwanza mwaka 2008 katika kutekeleza sheria No:23 ya mwaka 1984 iliyounda Baraza hilo.…
Nimekutana na hii, Lionel Messi ametwaa mataji mengi kuliko klabu ya Chelsea ambayo ina miaka 110 …
Hii inaweza ikawa sababu nyingine ya mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina anayekipiga katika klabu ya FC Barcelona Lionel Messi kutajwa katika list ya mchezaji bora wa muda wote kama ambavyo Diego Maradona…
Hali mbaya Man United yakubali kipigo kwa Bournemouth, Cheki matokeo ya EPL Dec 12 (+Pichaz&Video)
Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena leo December 12 kwa mechi takribani sita kupigwa katika ardhi ya Malkia Elizabeth, miongoni mwa michezo iliyochezwa Jumamosi ya December 12 ni AFC Bournemouth dhidi ya…
Ongeza hit singles kwenye Christmas playlist yako na hii mpya ya August Alsina; Song Cry – (Video)!
Album yake mpya 'This Thing Called Life' ikiwa mtaani tayari, msanii wa miondoko ya R&B kutoka Marekani, August Alsina anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani na ujio wa official music…
FC Barcelona yalazimishwa sare katika uwanja wake wa nyumbani Nou Camp (+Pichaz&Video)
Mechi za Ligi Kuu Hispania ziliendelea kama kawaida jumamosi ya December 12 kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali nchini humo, klabu ya FC Barcelona ambao ndio timu inayoongoza msimamo…
Huku Ajib kule Bocco dakika 90 ya kuzitafuta point tatu kwa Azam FC na Simba, Cheki matokeo ya VPL Dec 12 (+Pichaz)
Baada ya mashabiki wa Ligi Kuu soka Tanzania bara kukosa burudani hiyo kwa wiki kadhaa kutokana na kusimama kwa Ligi ili kupisha maandalizi ya timu ya taifa ya Tanzania Taifa…
Picha za kwanza kutoka Escape One kwenye shangwe za After Skul Bash….
Xxl ya cloudsFM kila mwaka hufanya party ya wanafunzi wote waliofunga shule ikiwa ni pamoja na wa shule ya Msingi,Sekondari,kwa pamoja party hii inaitwa After skul Bash,hii inaendelea sasa hivi…