Ni headlines baada ya headlines!! hawa ni maofisa waliosimamishwa kazi TANESCO..
Nitahakikisha nakupatia kila stori inayonifikia....sasa hivi nakusogezea hii stori kutoka shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kuhusu kuwasimamisha kazi maofisa 7 waandamizi kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo wizi na ubadhirifu. Akizungumza…
Its a Boy!!! Kim Kardashian na Kanye West waongeza furaha ndani ya familia yao…
Good News kwa familia ya Rapper wa Marekani Kanye West na mke wake Kim Kardashian!!. Baada ya safari ndefu ya ujauzito wa staa huyo wa kipindi cha televisheni cha 'Keeping…
Waliokamatwa na Makontena, babu aoa mtoto wa miaka nane, DAWASCO na bei mpya..#MAGAZETINI
TANZANIA DAIMA Mahakama ya Bunda amemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Changwe Changige mwenye miaka 54 kwa kosa la kumuoa na kumbaka mtoto wa miaka minane. Wakati huo huo mahakama…
MAGAZETI #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania Dec.06, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Pichaz za kilivyohappen kwenye Tamasha la Nyama Choma Festival Dec 5….
Ni kijiwe kingine kabisa ambacho kinawakutanisha watu wa nguvu kwenye mikoa mbalimbali Tanzania, hapa inaliwa nyama choma, marafiki wanakutana na kuenjoy good music pembeni, michezo ya watoto, burudani ya live band…
50 Cent katusogezea single mpya, kama ilikupita isikilize hapa… “I’m The Man”
Rapper kutoka G Unit, 50 Cent time hii ametusogezea hii single yake mpya iitwayo "I'm The Man" Isikilize hapa Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo?…
Wanavyuo UDSM, IFM, CBE kwenye #TIGOuniversityVIP…(Picha)
Kama uko chuoni UDSM, IFM au CBE Dar es salaam, Mzumbe Morogoro, Utumishi Mtwara unayo nafasi ya kushinda na kupewa hadhi ya ki-VIP kutoka Tigo, na tayari mpango umewadondokea washindi wa…
OnAiR with Millard Ayo: Kuna watu wamemkosoa Peter Msechu hajui… amewataja na kusema kilichofata. (video)
Peter Msechu ni mwimbaji wa bongofleva ambaye headlines zake zilianzia kwenye BSS, kisha PROJECT FAME na baadae akarudi kwenye mzunguko wa bongofleva, kuna watu waliomkosoa kwamba hajui kuandika nyimbo na amewataja…
Magazeti ya Tanzania December 6 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 6 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na instagram…
Utani wa Baba Levo kuhusu kwenda na Mwanamke wa mjini guest house
Baba Levo ni msanii wa bongofleva, diwani lakini pia mtani ambaye huwa anaibuka na utani wa vitu mbalimbali mara kwa mara, hapa nimekuosegezea sauti yake na utani kwa Wanawake wa…