Kasi ya ushindi wa goli nyingi ya FC Barcelona, imezimwa na Valencia katika dimba la Mestalla (+Pichaz&Video)
Wakati wapinzani wao wa jadi Real Madrid wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 4-1 dhidi ya Getafe na kuvuna point zote tatu katika dimba la Santiago Bernabeu, FC Barcelona wao…
Chelsea imepoteza mchezo mbele Bournemouth, Cheki matokeo ya mechi za EPL Dec 5 (+Pichaz&Video)
Klabu ya Chelsea ambayo ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Uingereza, December 5 wameshuka dimbani kucheza mchezo wao wa 15 wa Ligi Kuu Uingereza na kuendelea na harakati za kujikwamua kutoka nafasi…
Prof. Lipumba kateuliwa mshauri wa uchumi serikali ya Dr. Magufuli? ukweli uko hapa..(+Audio)
Baada ya taarifa nyingi kusambaa hususani kwenye mitandao ya kijamii kwamba Rais John Magufuli amemchagua aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba kuwa mshauri wa masuala ya kiuchumi…
Breaking News: Mtanzania Omary Clayton kashinda Tuzo ya heshima nchini Marekani…(+Pichaz)
Good News ikufikie popote pale ulipo, Leo Dec 5, 2015 historia nyingine imeandikwa katika Afrika na dunia kwa ujumla baada ya Mtanzania mwenzetu Omary Clayton kuibuka na ushindi mnono katika shindano…
Real Madrid yapunguza tofauti ya point na FC Barcelona kwa ushindi huu, cheki (+Pichaz&Video)
Miongoni mwa ile michezo 9 ya LaLiga ya weekend hii, tayari baadhi ya michezo hiyo imeshachezwa Jumamosi ya December 5, miongoni mwa mechi za Ligi ya Hispania zilizochezwa ni mchezo…
Louis van Gaal yupo tayari kuondoka Man United ila kama wachezaji wataamua hivi …
Headlines za kocha wa Man United Louis van Gaal kuwa huenda taondoka klabu hapo zimekuwa zikichukua nafasi kila siku, kwani mashabiki wa timu hiyo hawana imani na uwezo wa kocha…
Dakika za Man City kuongoza EPL zinahesabika ni baada ya kipigo cha Stoke, cheki (+Pichaz&Video)
Jumamosi ya December 5 Ligi Kuu Uingereza imeendelea tena kwa michezo nane kupigwa, mchezo wa kwanza kupigwa ulikuwa ni mchezo kati ya Stoke City dhidi ya Manchester City katika dimba la…
Wasanii Dayna na AT hawakumpigia kura Dr. Magufuli? wanasemaje sasa hivi?
Wasanii wa bongofleva Dayna Nyange pamoja na AT ni miongoni mwa watu ambao hawakumpigia kura Rais Magufuli kwenye uchaguzi wa mwaka 2015 lakini kinachoendelea kwenye serikali ya Dr. Magufuli sasa hivi…
Nimekusogezea picha 10 za mradi wa vituo vya mabasi Johannesburg South Africa…..
Tanzania ikiwa bado katika headlines za mradi wa vituo vya mabasi yaendayo kwa haraka sasa hapa nimekusogezea hizi picha 10 za muonekano wa vituo vya mabasi kutoka Johannesburg Afrika Kusini.…
Kwako shabiki wa Mr. Flavour….. hii ni single yake mpya
Flavour ni staa mwingine wa Afrika ambae alizichukua headlines kwa Tanzania baada ya kufanya collabo na Diamond Platnumz, sasa time hii ametusogezea single yake mpya iitwayo Baby Oku. Isikilize hapa…