Mechi 18 kali zinazotajwa kuwa na mvuto weekend ya December 5 na 6 kwa Ligi Kuu Uingereza na Hispania …
Bado siku nane tu Ligi Kuu soka Tanzania bara iweze kuendelea baada ya kusimama kwa wiki kadhaa ili kupisha maandalizi ya timu ya taifa pamoja na michuano ya Challenge inayomalizika…
Top 5 za walichokiandika mastaa wa bongo kwenye mitandao ya kijamii leo Dec 4, 2015.
Leo Dec 4, 2015 nimezikusanya post mbalimbali za mastaa wetu wa bongo kupitia mitandao ya kijamii, vitu walivyo viandika katika kurasa zao. Nimegusa katika wanasiasa, wanamichezo, waimbaji na wachekeshaji pia.…
Kama umepata taarifa ya msiba wa msanii Bongo Movie, ukweli niliothibitishiwa ni huu !!
Baadhi ya wasanii walipost mitandaoni wakitoa taarifa ya msiba wa msanii wa Bongo Movie, jitihada zangu zimefanikisha kumpata msemaji wa shirikisho la wasanii Tanzania ambapo kanithibitishia kinachoendelea nyumbani kwa mtoto…
Licha ya ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Cadiz, Benitez kasababisha Real Madrid kutolewa Copa del Rey 2015, kisa ? …
Usiku wa December 2 kuamkia December 3 ulipigwa mchezo wa Copa del Rey ambapo klabu ya Real Madrid ya Hispania ilikuwa mgeni wa klabu ya Cadiz na kufanikiwa kuibuka na…
Hii ndio sababu pekee inayomfanya Alves kusema Ronaldo hakustahili kuwa katika tuzo za Ballon d’Or 2015 …
Headlines za wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa Dunia kwa mwaka 2015 (Ballon d'Or) bado zinazidi kuchukua nafasi, kwa sasa kila mmoja amekuwa akitaja mshindi wake katika tuzo za…
Watuhumiwa wa kesi ya makontena 349 bandarini walivyofikishwa Mahakamani Dar leo (Picha)
Kama ulipitwa na hii stori iliripotiwa kwenye habari ya kituo cha ITV leo kuhusu ishu ya kufikishwa Mahakamani kwa watuhumiwa kutoka Mamlaka ya TRA ambao walisimamishwa kazi kutokana na kuhusishwa na…
Kasi ya Rais Magufuli haiko kwenye makontena Bandarini tu, imepita na TFF …
Ikiwa bado siku moja Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli atimize mwezi mmoja toka aapishwe kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamuhuri ya Muungano…
Nyumba za bei nafuu kwa kila Mtanzania!!NHC wamekuja na hii kauli kwa Serikali…
Taasis ya wahandisi Tanzania kwa kushirikiana na Shirika na nyumba la Taifa leo walifamya mkutano kubwa likiwa kuzungumzia mazingira endelevu na ujenzi wa nyumba za bei rahisi. Kikubwa kilichozungumziwa ni…
Ujio mpya wa Roma na Baghdad, hii ndio ngoma mpya wametuletea.. (+AUDIO)
Huu ni muunganiko wa wasanii wawili tokea hapa bongo Baghdad na Roma Mkatoliki ambapo leo Dec 4, 2015 wameachia rasmi ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la "Una akili wewe".…
Mpyampya kutoka kwa mkali mwenyewe, Hemedy PHD Feat. Mr. Blue- ‘Someday’ (Audio)
Kwenye wakali wa muziki ambao waliweza kubeba mataji ya kukubalika kwenye kona mbili tofauti za entertainment Tanzania, najua huwezi kuliacha jina la Hemedy PHD. Unajua sio kitu rahisi mtu akafanya…