New Good music kutoka kwa mtu wetu Belle 9 >>> #Kupenda (+AUDIO)
Mkali kutokea Morogoro Belle 9, amezidi kufanya poa katika sanaa ya muziki hapa nchini na hata kuvuka mipaka ya Afrika, baada ya kutamba sana na ngoma ya Shauri zao ambayo imezidi kufanya…
Zawadi za krismasi zimeanza kumfikia Floyd Mayweather hii imetoka kwa mashabiki wake (+Pichaz)
Siku zote unapoambiwa utaje list ya mastaa waliowahi kutamba katika mchezo wa ngumi, hauwezi ukaliacha jina la Floyd Mayweather mtu wangu. Staa huyo ambaye ni bingwa wa mchezo wa ngumi wa uzito…
Seyi Shay anaisambaza ‘Tina’ mpya kutoka kwenye album yake pembeni D’Banj – (Audio).
Kwenye headlines za burudani Nigeria jina la staa wa muziki Seyi Shay na midundo yake mipya kutoka kwenye latest Album yake, Seyi or Shay ni miongoni mwa stori zinazoongelewa sana…
Utathubutu kuisafisha smartphone kwa maji na sabuni ??!! Cheki na maujanja ya Wajapan.. (+Video)
Ziko simu za kisasa ambazo teknolojia yake inaruhusu kukutana na maji na haiharibiki lakini sio simu zote zina uwezo huo !! Nakukutanisha na headlines za Wajapan ambao wameamua kuja na…
Mtanzania gani kakimbiza kwenye Smash Hit za Trance Tv Dec 4, 2015? Jibu unalikuta hapa.. (VIDEO)
Tayari nimezipata ngoma kali zilizochezwa kama Smash Hit kwenye kituo cha kimataifa nchini Ufaransa Trace Tv leo Dec 4, 2015, ambapo Mtanzania mmoja pekee Vanessa Mdee na wimbo wa Never Ever ndio…
Ikumbuke na hii mpya ya Rick Ross kwenye playlist yako, ‘Milly Rock’ – (Audio).
Zimebaki saa chache tu kufikia uzinduzi wa Album mpya ya Rick Ross, Black Market... na tukiwa tunaendelea kusubiri ujio wa Album hiyo, Ricky Renzel anaisogeza kwetu single nyingine kutoka kwenye…
Warembo 7 wa Afrika kwenye stage ya Miss Universe Marekani, mrembo wetu Lorraine nae ndani (+Pichaz)
Headlines za urembo December 2015 zinaibeba Tanzania kwenye uzito wake wa nguvu kabisa, naomba nikukumbushe kwamba fainali za Miss World ni December 19 2015, sio mbali sana hapo !! Lakini…
Hii mpya kutoka kwa 2 Chainz isikupite, ‘El Chapo Jr.’ – (Video)
Rapper kutoka Marekani, 2 Chainz anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani na ujio wa brand new single iitwayo 'El Chapo Jr', single inayopatikana kwenye mixtape yake ya Trapavelli…
Kilichonifikia kuhusu ajali ya gari la magazeti ya Mwananchi… #RIP
Hii taarifa imechukua nafasi kubwa sana kwenye mitandao ya kijamii hasa kwenye Whatsapp, Instagram na Facebook pia... inaonekana gari ya magazeti imepata ajali na kunatajwa kuwa kuna watu wamefariki pia…
Baada ya hit ya ‘Duro’, mkali wa Nigeria anakuja na hii nyingine.. Tekno- ‘Wash’
Najua kwa watu wangu ambao hawapitwi na midundo ya Kinigeria bado wanaikubali ngoma ya jamaa ambaye katambulika vizuri kwenye ulimwengu wa muziki kupitia ngoma ya 'Duro', jina lake ni Tekno…