#Goodnews, hawa ndio watano watakaoiwakilisha Tanzania kwenye tuzo za KORA Africa Music Awards 2016!
Good news kwa watu wangu wa Bongo Flevani kwani kila mwaka wasanii wa muziki kutoka nyumbani wanazidi kuipa industry ya Entertainment nuru kubwa katika kuuwakilisha muziki wetu kwenye levo mbalimbali…
Tigo University VIP tena weekend hii kwa Wanachuo wa IFM, UDSM, Mzumbe Moro, CBE – DAR na Utumishi MTR
Tigo imekua ikitoa nafasi za watu wa nguvu kwenye vyuo vya UDSM, IFM, CBE- DAR, Utumishi Mtwara na Mzumbe Morogoro kuenjoy weekend zao na marafiki baada ya kushinda kwenye droo…
Rais Magufuli na ufukwe wa Coco, Vigogo, Makontena 2431 TRA?, Shule binafsi na ada? – (Audio).
Uchambuzi wa magazeti redioni @CloudsFM umekupita? Inawezekana hukuzipata zote zilizoweka headlines kwenye kuperuzi na kudadisi asubuhi hii… kama ilikupita hizi ni dakika 25 za zile zote kubwa za leo. Makontena…
Jichagulie mapema leo utatazama movie gani Cinema kama upo Dar au Arusha
Najua nina watu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend, sasa kama upo Dar es salaam na Arusha movie zinazoonyeshwa kwenye big screen weekend hii na Trailers zake nimekuwekea hapa. Bridge…
Utani wa Baba Levo kuhusu ushamba wa wasanii wa bongo walipopanda ndege kwa mara ya kwanza (+audio)
Huyu jamaa ni mchekeshaji lakini pia msanii wa Bongo Fleva, ana story zake popote akikaa huwa zinamtoka tu na watu lazima watamsikiliza na ametusogezea hii ya utani kuhusu ushamba wa wasanii…
Magazeti ya Tanzania December 4 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 4 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Pichaz 25 za Birthday Party ya Simon Msuva wa Yanga na Dumy Utamu dancer wa Diamond Platnumz
December 3 ilikuwa ni siku muhimu sana kwa Simon Msuva winga mshambuliaji wa Yanga na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars pamoja na Dumy Utamu mkali wa kudance kutoka…
Serikali ya Rais Magufuli imeamua nini kuhusu ada za shule binafsi? Majibu yako hapa..(+VIDEO)
Hii ni taarifa kutoka Wizara ya elimu Tanzania kuhusu zuio la shule kupandisha viwango vya ada, hapa nimekusogezea video yenye maelezo kamili kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa usajili wa shule…
Zisikupite hizi stori kubwa 5 kutokea kwenye Amplifaya Dec 3, 2015
December 3, 2015 mkusanyiko wa stori kubwa kutokea kona mbalimbali za dunia zilikusanywa pamoja na kusikika kupitia Kipindi cha redio Amplifaya ya Clouds Fm, sasa basi kama zilikupita hii ni…
Kwa mwaka 2015, hizi ni ajali za Malori zilizonaswa kwenye video kwenye nchi za watu
Tuko mwezi December na tunaelekea kuumaliza mwaka 2015, ni vitu vingi sana ambavyo vitakua vimetunzwa kwenye kumbukumbu za mataifa mbalimbali duniani, na hii video hapa chini ni moja ya kumbukumbu zenyewe.. ikitukumbusha…