Baada ya Sturridge kurejea kutoka majeruhi, hiki ndicho alichowafanya Southampton Kombe la Capital One
Wakati nchini Hispania usiku wa December 2 inapigwa michezo nane ya kombe la Copa del Rey, Uingereza umepigwa mchezo mmoja pekee wa Kombe la Capital One baada ya usiku wa…
FC Barcelona warudia mgao wa dozi yao kwa Villanovense baada ya kutoa dozi kama hiyo kwa Roma (+Pichaz&Video)
Usiku wa December 2 ilikuwa ni zamu ya kuchezwa kwa mechi za Copa del Rey nchini Hispania, michezo nane ilichezwa usiku wa December 2 ila mchezo uliyochezwa mapema zaidi ni…
Baada ya kutua Dar Bocco kaongea haya kwa watanzani, Maguli kuulizwa kuhusu Simba akajibu hivi (+Audio)
Dakika chache baada ya kutua kwa timu ya taifa ya Tanzania bara Kilimanjaro Stars uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Kambarage Nyerere December 2 ikitokea Ethiopia ilikokuwa inashiriki michuano…
Dakika kumi za usiyoyajua kuhusu Simon Msuva wa Yanga
Katika exclusive interview za AyoTV na mastaa wa soka 2015, hii ya Simon Msuva haitakiwi ikupite pia.... ni staa wa soka kwenye headlines za ushambuliaji kwenye timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars…
Quick Rocka katuletea hii zawadi ya mwisho wa mwaka (new video)
Video nzuri za bongofleva mwaka 2015 zinazidi kutufikia ambapo Dec 2 2015 Quick Rocka ametusogezea hii ya Queen ( Nakupenda ) ambayo imetokea kwenye mikono ya Director Khalfan. https://www.youtube.com/watch?v=CXK6v7hZ3rw&feature=youtu.be&hd=1 Unataka kutumiwa MSG za…
Siku yako haijaenda poa leo..? Hapa ni lazima ucheke….(+VIDEO)
Inawezekana siku yako haijawa poa sana leo, basi chukua time hii kuirejesha furaha kwa kucheka na vituko vya mchekeshaji kutokea Uganda Anne Kansiime. Uwezo mkubwa alionao Kansiime katika uchekeshaji ndio unaochangia…
Cheki video jinsi saini ya Cristiano Ronaldo ilivyomtoa machozi shabiki ….
Baada ya usiku wa December 1 kuchezwa michezo ya Kombe la Capital One Uingereza, December 2 ni zamu ya Hispania kushuhudia mechi za Copa del Rey kwa vilabu vya Real…
Ripoti kutoka Mahakamani kuhusu kesi ya Ubunge David Kafulila…(Audio)
Headlines za David Kafulila wa Chama cha NCCR- Mageuzi kuamua kufika Mahakama kuu ya Tabora kuhusu sababu ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu kuonesha hakupata Kura za kutosha ili awakilishe wananchi…
Kazi nyingine kutoka kwa wakali wa Nigeria, Banky W Feat. Chidinma- ‘All I Want Is You’ >>#Audio
Banky W na Chidinma ni mastaa wa Nigeria ambao muziki wao ulipata nafasi kupenya kwenye masikio ya Waafrika na wakakubalika moja kwa moja. Kama uliwahi kubahatika kukutana na ngoma zao…
Mengine manne ya kufahamu kutoka kwa Lupita Nyong’o ni haya..!
Umaarufu wa staa wa movie Lupita Nyong'o unazidi kushika kasi kila mwaka, baada ya kutokea kwenye majarida mbalimbali kwa mwaka huu wa 2015, staa huyo wa movie mwenye asili ya…