Pichaz 19 za utowaji na washindi wa tuzo za LALIGA 2014/2015, wapo pia Messi, Neymar, Ramos na Rodriguez …
November 30 2015 ilikuwa ni siku ambayo FIFA walitangaza majina ya wachezaji soka watatu waliofanikiwa kuingia katika fainali ya kuwania tuzo ya Ballon d'Or 2015, pamoja na kutaja magoli matatu…
Rekodi 5 za Lewandowski ndani ya Bundesliga na kuingia katika kitabu cha Guinness World Records …
Mshambuliaji wa klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Robert Lewandowski ameingia katika headlines baada ya kuweka rekodi iliyoingia katika kitabu cha Guinness World Records. Robert Lewandowski ambaye amekabidhiwa vyeti vyake na Guinness World Records…
Kwenye zile Ahadi za Said Fella,hizi ndizo kaanza kuzitekeleza Kwenye Kata yake.
Hiki kimekua ni kipindi cha kutazama yote yaliyoahidiwa na Wagombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye nchi yetu ya Tanzania baada ya kutoka kwenye mbio za Uchaguzi Mkuu 2015,kwenye kasi ya…
Baada ya stori za kuvunja mkataba wake, Andry Coutinho katua Dar, huu ndio msimamo wa Yanga (+Audio)
Headlines za usajili katika soka bado zinachukua nafasi katika dirisha dogo la usajili wa Ligi Kuu soka Tanzania bara, Kama utakuwa unakumbuka vizuri November 25 mkuu wa idara ya habari…
Video ya Tanzania inayoendelea kushika chati Top 10 ya Trace TV.. (+VIDEOS)
Tayari nimezipata Urban Hit Top 10 za kituo cha kimataifa nchini Ufaransa Trace Tv, ambapo leo November 30, 2015 hesabu zimekamilika. Lakini jambo zuri zaidi ni kwamba Tanzania pia ipo katika…
Bado siku 15 dirisha la usajili lifungwe, Azam FC wamefunga usajili wao kwa kunasa saini ya staa huyu ….
Headlines za usajili zinazidi kuchukua nafasi kwa mwezi November hususani katika kipindi hiki cha usajili cha dirisha dogo, ikiwa zimesalia sio zaidi ya siku 15 ili iweze kufikia December 15 dirisha…
Ripoti kutoka mahakamani Nigeria kuhusu kesi ya Mchungaji T B Joshua…
Mchungaji wa Kanisa la Church of All Nations Nigeria, TB Joshua na Wakandarasi wawili ambao wanakabiliwa na mashtaka ya uzembe uliopelekea jengo la Kanisa hilo kuanguka na kusababisha vifo vya…
Wingu lilivyowafungia wachina ndani kwa muda wa siku tatu…
Headlines zimerudi China..mamlaka ya hali ya hewa imetoa tahadhari kwa watu kutoka nje baada ya kutokea uchafuzi wa mazingira ulioukumba mji mkuu wa nchini hiyo Beijing. Mji huo ambao umekuwa…
Baada ya moto wa Magufuli kupita bandarini, hii ndio idadi ya waliokamatwa mpaka sasa..
Ijumaa November 27 2015 Waziri Mkuu mpya wa Tanzania, Majaliwa Kassim Majaliwa alifanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam na kuwasimamisha kazi maofisa watano wakihusishwa na ubadhirifu…
Safari ya mwisho kwenye mazishi ya marehemu Mawazo Geita leo.. #RIP
Viongozi wa CHADEMA pamoja na wanaCHADEMA wameungana kwa pamoja katika shughuli za mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Geita, marehemu Alphonce Mawazo ambaye aliuawa wiki mbili zilizopita. Mazishi hayo yamefanyika…