Baada ya majina 23 kuchujwa, hawa ndio mastaa watatu waliofanikiwa kuwania tuzo ya Ballon d’Or!!
Mastaa watatu wa soka duniani Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Neymar wamerudi kwenye headlines baada ya kuchaguliwa kushindania tuzo ya kimataifa ya mwaka ya Ballon d'Or. Huu unakuwa mwaka wa…
Daraja juu ya Bahari Dar es salaam… Rais Magufuli alivyohakikishiwa ujenzi wake leo.
Vichwa vya habari za siasa Tanzania bado vinaendelea kubeba stori kila mara kuhusu Rais Magufuli… inawezekana ni kawaida kabisa kila siku kukutana na habari zaidi ya tatu au nne kuhusu…
Kipigo cha Ethiopia chawarejesha Kilimanjaro Stars Tanzania, Full Time ya CECAFA Nov 30 …
Michuano ya mataifa ya Afrika Mashariki na Kati maarufu kama CECAFA Senior Challenge Cup yameendelea leo November 30 kwa kupigwa mechi za kwanza za robo fainali ya michuano hiyo, miongoni…
Kuna uwezekano wa Will Smith kuingia kwenye Siasa? Hii ndio mipango yake ya badaaye…
Mkali wa kuigiza movie kutoka Hollywood, Will Smith anafahamika kama mmoja ya wasanii wakubwa sana duniani, ukiachia hayo Will Smith amejijengia jina kubwa sana kwenye muziki kama rapper lakini nini…
Picha tatu za Rais Magufuli na Prof. Lipumba ndani ya Ikulu Dar es Salaam leo..
Leo November 30 2015 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Prof. Ibrahim Lipumba Ikulu…
Tafsiri ya gazeti la China lililomuandika Rais John Pombe Magufuli.
Kuanzia wiki iliyopita zilianza kusambaa picha za gazeti lenye maandishi ya Kichina ambalo lilikua na picha ya Rais mpya wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli, nikaamua kuchukua time kumtafuta Mchina…
Mrembo Lilian Kamazima na warembo 10 kwenye mavazi ya kiafrika ndani ya Miss World… +Pichaz
Countdown ya siku kuielekea December 19 2015 siku ya fainali ya Miss World 2015 inazidi kusonga ambapo mpaka sasa ni kama wiki mojahivi imepita toka warembo wetu wanaowakilisha kwenye mashindano…
Taasis za umma zilivyojipanga kutekeleza maagizo ya Rais MAGUFULI…
Rais wa awamu ya tano Dk. John Magufuli ameendelea na operesheni yake ya kuhakikisha anaondoa matumizi yasiyo ya lazima katika taasisi mbalimbali za Serikali. Ukiachia kufuta safari zisizo za lazima…
Rais Magufuli kaamua Bilioni zilizokua zitumike sherehe za uhuru 9 Dec matumizi yake yawe kama ifuatavyo.
Kwa sababu tayari Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza kwamba sherehe za Uhuru siku ya December 09 2015 hazitokuwepo, ninayo taarifa nyingine kuhusu maamuzi mengine ya pesa ambazo zilitengwa kwa…
Majibu ya Drake baada ya kusikia Adele angependa kufanya ‘remix’ ya Hotline Bling!
Baada ya Adele kuonyesha nia ya kutaka kufanya remix ya Hotline Bling, kumekuwa na minongono juu ya mtazamo wa Drake kwenye ishu hiyo, watu wengi ikiwa mashabiki wamekuwa wakitaka kujua…