Pichaz za Ronaldo akiwa katika ndege binafsi akielekea kujiunga na timu yake ya taifa…
Ikiwa ni mapumziko mafupi ya Ligi Kuu mbalimbali duniani ili kupisha michezo kadha ya timu za taifa iliyo katika kalenda za FIFA, Real Madrid ya Hispania ilimaliza mechi yake ya…
Mambo matano ya kuyafahamu kuhusu Kifo cha Mchungaji Christopher Mtikila .. (RIP)
October 05 2015 ni siku ya pili inaisha tangu litokee tukio la ajali ya gari ndogo katika Kijiji cha Msolwa, Chalinze Mkoa wa Pwani ambapo ndani yake kulikuwa na watu…
Kumbe Marekani tatizo la watu kudownload muziki kinyume na Sheria bado ni kubwa sana tu!
Licha ya Marekani kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa kuwa na Sheria kali zinazodhibiti kudownload nyimbo kinyume na utaratibu uliowekwa, sources nyingi zinazotoa huduma ya kustream na kudownload muziki kama…
Hamis Kiiza kaingia katika historia ya kuwa mchezaji wa kwanza wa Simba kutwaa tuzo hii (+Pichaz)
Mwishoni mwa mwezi September klabu ya Simba ilitangaza mfumo mpya kwa klabu za Tanzania lengo likiwa ni kuinua morali kwa wachezaji wake na kujenga hali za kujituma kwa kuanzisha tuzo…
Dej Loaf anaisambaza rasmi official video ya ‘Back Up’ feat. Big Sean. – (Video)!
Rapper chipukizi ambaye amekuwa akiweka headlines nyingi sana nchini Marekani, Dej Loaf amerudi kuziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani. Baada ya kurudi kutoka kwenye tour na first kady…
Baada ya kufutwa kazi Brendan Rodgers aondoka Liverpool, huyu ndio anatajwa kuwa mrithi wake (+Pichaz)
Aliyekuwa kocha wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers kwa mara ya kwanza ameoneka hadharani na familia yake October 5, ikiwa ni siku moja imepita toka afukuzwe kazi katika klabu ya…
Sweden unafanya kazi saa sita tu?? Utafiti una majibu na wapo wanaofata huo utaratibu..
Nchi nyingi Duniani utaratibu wa saa za kazi kwa siku ni saa nane tu, asubuhi mpaka jioni... lakini zipo Kampuni au Mashirika binafsi ambayo yametengeneza utaratibu wake wa saa za…
Bad Boy Entertainment & Epic Records waungana kusambaza album za P Diddy!
CEO wa lebo ya Bad Boy Entertainment (BBE) P Diddy amekuwa miongoni wa mastaa wakubwa kwenye muziki ambao kwa kiasi kikubwa wamenufanikiwa sana kupitia biashara... kama wewe ni shabiki wa…
Utengenezaji wa ndege nyingine ya Boeing ulivyofanyika hapa..umechukua muda gani?..Video
Kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing wamekuja na ndege yao mpya aina ya 787-9 Dreamliner ambayo itamilikiwa na shirika la British Airways. Wakati wa utengenezaji wa ndege hiyo wametuonyesha video ya…
Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea? huu ndio msimamo wa Chelsea baada ya matokeo mabovu ….
Mmiliki wa klabu ya Chelsea ya Uingereza raia wa Urusi Roman Abramovich tumezoea kuona akifukuza makocha kwa haraka zaidi endapo tu mwenendo wa timu yake utakuwa sio mzuri kwa kipindi…