Real Madrid haitofata masharti ya Sergio Ramos? inabidi uijue hii
Kufuatia tetesi nyingi ambazo zimezidi kuongezeka miongoni mwa vyombo vya habari vya Hispania na England kuhusu mustakabali wa muda mrefu wa beki wa Hispania Sergio Ramos, uongozi wa klabu yake…
Kikosi cha Atletico Madrid wameongeza nguvu kwa usajili wa kichwa kingine toka FC Porto
Siku chache baada ya kushuhudia mshambuliaji wake raia wa Croatia, Mario Mandzukic akihamia nchini Italia kwenye klabu ya Juventus, mabingwa wa Hispania kwa msimu wa mwaka 2013/2014 Atletico Madrid hii…
Na huu ndio mpira utakaotumiwa kwenye ligi ya England msimu ujao
Imebaki miezi miwili barani Ulaya kabla ya Ligi mbalimbali kuanza kutimua vumbi, mpira rasmi utakaotumika kwenye ligi ya England tayari umefahamika. Mpira huo umebuniwa na kampuni ya vifaa vya michezo…
Picha tatu za Boti ya KILIMANJARO V ilivyoshushwa kwenye maji Zanzibar
Usafiri wa Boti ndio kiungo muhimu cha Dar na Zanzibar, watu wengi wanautegemea usafiri huu mtu wangu.. Good news kwa wasafiri wote DAR-ZANZIBAR !! Boti nyingine tayari imeshushwa kwenye maji…
Hivi ni vituko viwili vya mashabiki ambavyo Trey Songz hawezi kuja kuvisahau!!
Najua kuna watu wangu ambao wanatamani sana siku moja wapate angalau dakika tano tu za kuchill na mastaa wanaowapenda na kupiga nao stori mbili tatu au hata kupata bahati…
Stori ya mama aliyejifungua njiani bila kujua ipo kwenye headlines
Kesi za wanawake kushindwa kutambua muda wao wa kujifungua unapofika zimekuwa zikitokea mara kwa mara na hata wengine kushindwa kujitambua kama ni wajawazito hadi pale unapokaribia wakati wa kujifungua. Kuna…
Kila mwananchi Tanzania anatakiwa achangie shilingi 100/=, unajua ni kwa ajili ya nini?
Kwenye headlines toka Dodoma labda hii ilikupita, Wabunge wamesikika mara nyingi wakilalamika kwamba Serikali itafanya maisha yawe magumu baada ya kutangazwa kwamba bei ya mafuta itabidi ipande ili kuchangia miradi…
Yasikupite haya mazuri yote yaliyoletwa na watu wetu Startimes mtu wangu !
Startimes wamethibitisha kwamba huduma yao sio kwenye TV pekeake mtu wangu!! Watu wengi sasahivi wanatumia smartphone, Startimes wakaona itakuwa poa pia kama wakitusogezea hii App ambayo unaweza kuiweka kwenye smartphones au iPad unayotumia.…
Kichwa kipya kilichosajiliwa Liverpool!! rekodi yake je?
Klabu ya Liverpool imefuta ndoto za wapinzani wao Manchester United baada ya kufanikiwa kumsajili mshambuliaji kutoka Brazil Roberto Firmino aliyekuwa akikipiga katika klabu ya Hoffenheim kwa mkataba wa miaka mitano.…
Kwa mara nyingine ni Ali Kiba na watu wake ndani ya Daladala Dar es Salaam #June242015 (Pichaz)
June 23 2015 staa wa Muziki Tanzania, Ali Kiba aliingia kwenye headlines nyingine ambapo kiukweli sio kitu cha kawaida sana kwa mastaa kukifanya... sio kawaida kukutana na staa amepanda daladala,…