Future na Blac Chyna ni wapenzi?! #Twitter inazungumza haya…
Siku hizi mitandao ya kijamii ina nguvu sana, tumeshuhudia wasanii wengi wakithibitisha mahusiano yao ya kimapenzi kupitia social networks kama Twitter na Instagram, siku hizi hii ndio imekuwa njia rahisi…
Hivi ndivyo Rihanna alivyoshuhudia Zlatan Ibrahimovic akiweka rekodi hii…
Siku moja baada ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa kwa kutimiza miaka 34, mshambuliaji wa kimataifa wa Sweden na klabu ya Paris Saint Germain ya Ufaransa Zlatan Ibrahimović ameweka rekodi nyingine…
U Heard leo ni director Nisher na ishu ya msanii toka Rwanda, hii hapa kwa Soudy Brown… #Audio
Kwenye zile tetesi za Soudy Brown leo kakutana na msanii Man Martin kutoka Rwanda ambaye amesema amekuja kwa ajili ya kufanya video na director Nisher..amesema mpaka sasa hajampata licha ya…
Roberto kufanya collabo Bongo? Nay wa Mitego kavamiwa? ushindi wa T Tanzania je?..#255
Tanzania ilipata ugeni wa msanii kutoka Zambia Roberto aliyeimba ngoma ya 'Amarula' ambaye alikuja na kupiga show Mwanza..msanii Galaxy kutoka Tanzania amemshawishi Roberto wapige naye collabo moja..Galaxy amesema amepata connection nzuri ya kuweza…
Vanessa Mdee ana haya majibu kwenye sentensi tano kuhusu ujio wa mdundo wake mpya #NeverEver!
Ni hits baada ya hits mtu wangu... msanii wa muziki wa Bongo Flava Vanessa Mdee anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani jumatatu hii, baada ya kuachia hit single yake 'Nobody…
Unapenda kuogelea? Karibu kwenye hii Swimming Pool inayoelea juujuu… (+Pichaz & Video)
Hii ni katikati ya Jiji la London Uingereza... Kama wewe ni mpenzi wa kuogelea au kwenda zako swimming na watu wako, unaweza kucheki na hii swimming pool iliyokaa kwenye muundo…
Umeipata mpya ya Sam Smith? ‘Writing on the wall’ imenifikia! – (Video).
Baada ya kushinda tuzo zaidi ya tano za Grammy na zaidi ya tuzo mbili za Billboard mwaka huu milango imezidi kufunguka kwa msanii wa Pop kutoka Uingereza Sam Smith... Adele…
Ushindi wa Goli 5-2 ukakamilishwa na jamaa kumvalisha pete Mchumba wake hapohapo Uwanjani… (+Video)
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles, John Ogu ameteka hisia za mashabiki wake baada ya kuamua kumvalisha pete ya uchumba mpenzi wake wa siku nyingi Adaolisa. Ogu anayecheza…
Magufuli Manyara, Lowassa na posho, ACT Wazalendo na upinzani?, Pinda na Magufuli?
Uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita? zipo nyingi zilizoshika headlines kwenye kurasa za magazeti 05 October, kama zilikupita unaweza ukacheki na hizi pia. Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha DP Mchungaji Christopher…
Tarehe ya ujio wa album mpya ya Davido imenifikia mtu wangu!
Boss wa lebo ya HKN Music Davido kutoka Nigeria anazidi kuionyesha dunia uwezo wake, baada ya kushindwa kutoa album yake mpya September mwaka hu, mwenyekiti wa lebo hiyo ambaye pia…