Mabeste anaikaribisha kwako Video yake mpya ya ‘Usiwe Bubu’ ndani yupo mpenzi wake…
Rapper Mabeste amekamilisha ujio wa Video yake mpya ya 'Usiwe Bubu' na safari hii ameamua kufanya na mpenzi wake wa siku nyingi Lisa. Video imesimamiwa na AJ Records. Nakukaribisha hapa kuitazama…
Uingereza imekuja na Sheria kudhibiti matumizi ya mifuko ya Plastiki, utaratibu mpya ni huu..!! (+Video)
Mara nyingi Wataalam wa masuala ya Mazingira wamekuwa wakisisitiza kuhusu watu kutambua athari zinazotokana na mifuko ya Plastiki, na hii ishu iliwahi kujadiliwa Bungeni, Wabunge wamesikika wakilalamikia udhibiti wa Mifuko…
Mayweather, Justin Bieber wakiyafurahia maisha yao ufukweni..(Pichaz&Video)
Kila wakati bondia Floyd Mayweather humkosi kwenye headlines zinazohusu maisha yake ndani na nje ya kipaji chake...mara kwa mara amekuwa akizungumziwa kutokana na utajiri alionao huku akiwa na matumizi yaliyopitiliza…
Taarifa iliyonifikia kuhusu kocha wa Liverpool Brendan Rodgers…
Liverpool imekuwa na wakati mgumu kufuatia kupata matokeo mabaya tangu kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu ya England. Taarifa iliyonifikia kutoka ndani ya uongozi wa klabu hiyo zinasema kocha…
Wenye pesa zao ndio wanaweza kumiliki Basi kama hili lenye huduma kama nyumbani
Pesa yake sio ndogo mpaka kulimiliki lakini ukiwa nalo ndio utaona faida zake, linaitwa RV likiwa ni basi ambalo ndani yake kuna vitu ambavyo vinapatikana kwenye nyumba za kuishi, ni…
Drake anaileta kwetu ‘Can I’ feat Beyonce Knowles – (Audio).
Mara ya mwisho Beyonce na Drake walifanya kazi pamoja ilikuwa mwaka 2013 walitoa single iliyopewa jina 'Mine' wimbo unaopatikana kwenye album ya Beyonce ya 2013 'BEYONCE'... Baada ya kuachia single ya…
Magazeti ya Tanzania Octoba 5, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Octoba 5, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Zimenifikia video za magoli ya Mbwana Samatta katika mechi dhidi ya Al Merreikh na kuifikisha TP Mazembe fainali..
Klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imetinga hatua ya fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya…
Matokeo ya mechi ya Atletico Madrid Vs Real Madrid yapo hapa mtu wangu (+Pichaz&Video)
Baada ya klabu ya FC Barcelona kuchukua kipigo cha goli 2-1 kutoka kwa Sevilla siku ya Jumamosi ya October 3 katika uwanja wa Estadio R. Sanchez Pizjuan, wapinzani wao wa jadi Real…
Kama zilikupita mechi za October 4 za Ligi Kuu Uingereza, ninazo video za magoli ya mechi hizo mtu wangu…
Jumapili ya October 4 ni siku ambayo Ligi Kuu Uingereza iliendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, Jumapili hii ilikuwa inahusisha michezo mitatu ya Ligi Kuu Uingereza sambamba na…