Unamkumbuka yule mzee maarufu katika ushangiliaji wa Kombe la Dunia Brazil? Amefariki..
Mpira wa miguu ni mchezo uliyoteka hisia za watu wengi na ndio mchezo unaohusisha wachezaji 11 na shabiki anatajwa kuwa mchezaji wa 12 kwa kazi yake ya kushangilia tu, inaaminika kuongeza hamasa…
Tazama TBT pichaz za mastaa wako wa soka Thomas Ulimwengu, Benzema na Bale wapo pia…
Imekuwa kama utamaduni sasa wa watu kuweka picha zao za zamani katika account zao za mitandao ya kijamii kila Al Hamisi ikifika, September 17 millardayo.com inakupa nafasi ya kuona picha za…
Sauti Sol wanaisogeza kwako video ya ‘Isabella’! (Video)
Sauti Sol kwenye headlines za burudani... baada ya kuachia ngoma yao ya 'Shake Yo Bum Bum' kundi hilo maarufu kutoka Kenya limerudi tena kutupa burudani nyingine ya kipekee! Official video…
Kama ilikupita ile stori ya uwanja wa tennis wa kuvutia Dubai nimekuwekea hapa (+Pichaz)
Huenda ukawa umesikia stori nyingi kuhusu Dubai ila hii ikawa ilikupita, Dubai ni moja kati ya sehemu zinazoongoza kuwa na majumba ya kifahari hoteli nzuri, karibia kila kitu kilichomo ndani ya…
Aliona njia pekee ya kutoroka na jiwe la almasi ni kulimeza… Kilichofuata ni stori nyingine!
Nimekutana na stori kutoka Thailand inayomhuusu mwanamke mmoja kutoka China kukamatwa na almasi tumboni mwake... Jiang Xulian ni raia wa China ambaye aljikuta matatani na polisi baada ya yeye na…
Vifaa vya ‘Kwetu Studio’ vimeibiwa, gharama yake vipi? Soudy Brown ana Stori yote..#Uheard
Director wa Kwetu Studio Msafiri ambaye amerekodi ngoma mbalimbali ikiwemo ngoma ya 'Sielewi', ngoma za Hemed PHD na nyingine amesema wameibiwa vifaa baada ya kuvamiwa wakiwa hotelini, katika vifaa vilivyoibiwa ni…
Maneno ya Dogo Janja baada ya kumiliki gari yake… Gari ikoje? Zicheki na pichaz nje mpaka ndani..
Dogo Janja ni moja ya wasanii wenye historia ya kuanza muziki wakiwa na umri mdogo ukilinganisha na wasanii wengine walio katika game. September 15 ndio siku ambayo Dogo Janja anasherehekea…
Orodha kamili ya vipengele vyote vya tuzo za MTV EMA’s 2015 imenifikia, isome yote hapa!
Tuzo za MTV Europe Awards 2015 (MTV EMA) haziko mbali sana mtu wangu, tarehe na siku ishapangwa na very soon tuzo hizi zitaruka LIVE kupitia kituo cha MTV Base Channel…
Sababu ya Madee kumpa gari Dogo Janja, mkasa wa Tunda Man, Ngoma mpya ya Q Chilla ina tatizo?…#255 (Audio)
Kwenye zile headlines za burudani leo kuna hii inayomuhusu Madee ambapo juzi alimzawadia Dogo Janja gari katika siku yake ya kuzaliwa, amesema alimpenda sana ukiachilia mambo ya muziki, na aliona…
Kitu kipya kipya toka +254, Stella Mwangi anarudi na hii ‘Chukua Hatua’ kwenye Video kabisa !!
Stella Mwangi ndio jina ambalo linatupa burudani ya kitu kizuri kutoka +254 Kenya kwa siku ya leo, sio mara zote tunahitaji kusikiliza muziki unaohusu mapenzi pekeyake, ziko ngoma kama 'Mwana'…