Jamaa alivyoamua kujichora tattoo list ya mastaa wa soka mwilini, kisa ni love kwa Man City? (Pichaz)
Mpira wa miguu ni mchezo ulioteka hisia za watu wengi katika soka hususani wanaume, imekuwa ni kitu cha kawaida kuona mtu akijichora rangi mwilini mwake kama ishara ya kushangilia timu…
Alisingiziwa ameiba simu ya bosi wake, kilichofuatia ni hiki kwenye #Hekaheka (Audio)
Kila siku Hekaheka imekua ikituletea mfululizo wa matukio mbalimbali ambayo yanatokea kila siku... Kazi ya Team nzima ya Leo Tena @CloudsFM ni kufanya kuyafatilia matukio hayo kila siku ya kuyasogeza…
Cheki majibu ya staa wa movie Nigeria kwa wanaosema ‘hafuati uzazi wa mpango’… (Video)
Maisha ya mastaa yako kwenye macho na masikio ya watu kila wakati.. inawezekana suala la mtu kuwa na watoto wengi au kujifungua mfululizo sio kitu kigeni sana kwa sababu kwenye…
Burkina Faso haina Rais? kuna haya maamuzi ya wanaompinga kiongozi wao wa sasa…
Rais wa Burkina Faso Michael Kafondo amenyang'anywa madaraka ya kuendelea kuiongoza nchi hiyo baada ya kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa Taifa hilo Blaise Compaore. Hatua hiyo imekuja baada ya viongozi…
Nimekusogezea hii List ya madaraja yaliyovunja rekodi kwa urefu zaidi duniani…Pichaz
Moja ya miundombinu inayorahisisha usafirishaji ni pamoja na uimara wa madaraja, China ni miongoni mwa Mataifa makubwa duniani ambapo uchumi wake unazidi kukua pamoja na miundombinu yake..ndiyo nchi pekee inayoongoza…
Umeusikia mdundo mpya wa OMI..? “Hula Hoop” imenifikia tayari na video yake ninayo hapa! (Video)
Baada ya kutengeneza jina kubwa na ngoma yake ya 'Cheerleader' msanii chipukizi kutoka Uingereza OMI amerudi tena na ngoma nyingine mpya 'Hula Hoop'. Video yake imtetoka tayari, na pengine hii…
Magufuli na M4C, Zitto na JK, CCM na uchaguzi mkuu, majaribio ya faini Tz leo? >>> Stori Kubwa (Audio).
Alhamisi ya tarehe 17 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM, na kwenye stori zilizoweka headlines zipo hizi ambazo zimesikika kwenye #PowerBreakfast... Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Magufuli…
Rais Obama kaandika haya kuhusu mtoto aliyekamatwa na saa wakidhani ni Bomu…
September 16 2015 nilikusogezea stori kuhusu ishu ya mtoto wa miaka 14, Ahmed Mohamed mwanafunzi wa MacArthur High School iliyoko Irving, Texas Marekani kukamatwa na Polisi baada ya kwenda na saa…
Magazeti ya Tanzania Septemba 17, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Septemba 17, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote ziko…
Matokeo ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya na video za magoli nimekuwekea hapa mtu wangu…
Usiku wa September 16 kulikuwa na muendelezo wa mechi zingine za Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa michezo ya kadhaa ya Kundi E, F, G na H kupigwa. Mtu wangu wa…