Kombe la shirikisho kurejea Tanzania, pichaz za uzinduzi na mengineyo vipo hapa..
Hii ni good news nyingine katika soka la Tanzania, Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF September 10 limetangaza kuingia mkataba na Azam Sports wa kudhamini na kurudisha kombe la shirikisho…
Majibu ya Roma Mkatoliki baada ya single yake mpya kuzuiliwa kuchezwa kwenye vituo mbalimbali
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya…
Harmonize na safari yake ya muziki, Tudd Thomas kazungumzia afya yake..#255 (Audio)
Harmonize amezungumza kwenye 255 na kusema alianza kutambulishwa mwaka 200o wakati Mrema anagombea Ubunge kupitia TLP, anasema kipindi hicho alikua na umri mdogo lakini watu walikua wakimkubali sana wakati akiimba…
Uchafuzi wa Mazingira China sio kesi ndogo, hii ndio faini kwa waliokamatwa mwaka 2015…
Zipo nchi Duniani ambazo huwa hazipendezwi na aina ya hukumu ambazo zinatolewa na China hasa kwa watu waliokamatwa kwa makosa ya jinai kama ya ubadhirifu ama ishu ya kukamatwa na…
Punda kamjeruhi mtoto, haikutosha akaanza kukimbia naye…#Hekaheka ina Stori kamili!(Audio)
Kila siku team ya Hekaheka kutoka Clouds FM imekua ikituletea matukio mbalimbali yanayotokea ndani ya familia zetu. Hekaheka ya leo inatokea Kahama ambapo mtoto wa miezi mitano aling'atwa na punda…
Jeshi la Nigeria limewakamata hawa wengine waliojihusisha na Boko Haram!
Headlines za Boko Haram zinaendelea kusikika, ni kama vile wanapumzika kidogo alafu wanaibuka tena... Mpya kutoka Nigeria leo inawahusu baadhi ya watu waliokamatwa na Jeshi la Nigeria kwa mashtaka ya…
Cristiano Ronaldo kaja na biashara ya perfume time hii… Pichaz na Video za uzinduzi hizi hapa..
Cristiano Ronaldo ni staa mkubwa kwenye soka, YES... Dunia inamjua, hii ni kumaanisha kwamba hata wasio na ushabiki kwenye soka jina lake wanalijua !! Mastaa kama Michael Jordan wamestaafu kwenye Michezo…
Kwenye treni a kifahari zaidi Duniani, ziko na hizi hapa… Afrika ziko mbili na pichaz zake ndani..
Kati ya usafiri unaoamini zaidi kutumika na pia hutumiwa na watu wengi zaidi ni treni..miaka ya sasa safari za treni zimeimarishwa zaidi hasa kwa nchi zilizoendelea. Kwa nchi za wenzatu…
Messi ni mkali uwanjani, Luis Suárez ana beef? Majibu yake ni haya kuhusu ubora wa Messi…
Klabu ya Barcelona inajivunia Bonge la muunganiko wa Mastaa wao watatu wakali kabisa Uwanjani, Luis Suárez, Neymar na Lionel Messi... kila mmoja ana ubora wake na anakubalika, lakini nyota ya Lionel…
Mtoto wa Wasira anusurika kuchomwa moto, hoi kwa kunywa juisi, GWAJIMA,MAGUFULI..#StoriKubwa
NIPASHE Wakati zikiwa zimebaki siku 44 kabla ya kufikiwa kwa siku ya kupiga kura Oktoba 25, mwaka huu, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameamua kuweka…