Kwenye treni a kifahari zaidi Duniani, ziko na hizi hapa… Afrika ziko mbili na pichaz zake ndani..
Kati ya usafiri unaoamini zaidi kutumika na pia hutumiwa na watu wengi zaidi ni treni..miaka ya sasa safari za treni zimeimarishwa zaidi hasa kwa nchi zilizoendelea. Kwa nchi za wenzatu…
Messi ni mkali uwanjani, Luis Suárez ana beef? Majibu yake ni haya kuhusu ubora wa Messi…
Klabu ya Barcelona inajivunia Bonge la muunganiko wa Mastaa wao watatu wakali kabisa Uwanjani, Luis Suárez, Neymar na Lionel Messi... kila mmoja ana ubora wake na anakubalika, lakini nyota ya Lionel…
Mtoto wa Wasira anusurika kuchomwa moto, hoi kwa kunywa juisi, GWAJIMA,MAGUFULI..#StoriKubwa
NIPASHE Wakati zikiwa zimebaki siku 44 kabla ya kufikiwa kwa siku ya kupiga kura Oktoba 25, mwaka huu, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, ameamua kuweka…
Ninazo #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 ya Tanzania Septemba10, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Kura za wizi 2015? Magufuli na kodi TZ? Gwajima Kizimbani? Ahadi za Lowassa.. (Stori+Audio)
Majukumu na mishemishe za asubuhi ni nyingi na pengine muda wa kusikiliza uchambuzi wa magazeti Redioni ukawa mbali na wewe, stori nyingi zimegusa Vichwa vya habari September 10 2015, Power…
Ebola ilivyofanya staa wa Hollywood akatua ndani ya Nigeria kuitengeneza movie yake…
Kwa kipindi cha 2014 na 2015 Ebola imebeba Headlines kubwa sana... lakini ishu haikuwa Africa pekeyake, Dunia nzima ilibidi wakae macho kwa sababu ya watu wanavyovuka mipaka ya nchi, ikafanya kwa…
Magazeti ya Tanzania Septemba 10, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Septemba 10,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews, zote…
Pondamali ana mipango ya kushirikiana na Yanga kujenga uwanja wa mazoezi? wazo lake lipo hapa (+Audio)
Jina la Juma Pondamali sio jina geni masikioni mwa waliyowengi katika soka hususani watu waliyokuwa wanafuatilia soka la Tanzania miaka ya 80, Pondamali kwa sasa ni kocha wa magolikipa wa…
Maneno ya Diamond Platnumz baada ya kutajwa kuwania tuzo ya MTV Europe Music Awards 2015
Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz amepata nafasi ya kuipeperusha bendera ya Tanzania katika tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zitakazotolewa mwezi October 25, 2015 jijini Milani Italy. Msanii huyo…
Mo Music aliingia kwenye Muziki rasmi akiwa darasa la ngapi?, Baba yake kayajibu hapa
Najua nina watu wangu mnaotamani kufahamu historia ya wasanii pindi bado hawajajulikana katika tasnia ya sanaa ukiwa na amu ya kufahamu tabia au kitu alichokuwa analichokuwa anapenda msanii enzi za…