Tunajua Jerson Tegete haichezei tena Yanga, kayaongea leo haya
Baada ya kucheza kwa muda mrefu katika klabu ya Dar Es Salaam Young African Jerson Tegete ameachana na timu ya Yanga na sasa ni mchezaji huru, team ya millardayo.com ilimtafuta…
Stori 10 za AMPLIFAYA July 30, 2015 kwako uliezikosa mtu wangu nimekuwekea hapa
Amplifaya ni show ambayo inasikika kuanzia Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on Clouds FM ikiwa na mkusanyiko wa stori kumi kubwa za siku kutoka kwenye siasa, michezo, muziki,…
Mtazamo wa Dj Khaled kuhusu ma Dj’s kupeana support kimuziki. (Audio)
Mvutano wa watu kutokupeana support kwenye game ya muziki haipo tu kwa wasanii Tanzania, hali hiyo ipo hata kwa wasanii wa Marekani pia tena kwa wao hata ma DJ's kupeana…
Jerry Muro alikua anajinadi kwa Ubunge hapa hizi nazi zikapasuliwa makusudi mbele yake.
Kumekuwa na wimbi la watu maarufu kuingia katika siasa na kutangaza kugombea nyadhifa mbalimbali katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadae mwezi Oktoba 2015. Jerry Muro ni mmoja kati ya watu maarufu…
Takwimu zinasema hii ndio idadi ya wahamiaji waliojiandikisha na kukamatwa. (Audio)
Zoezi la uandikishaji kwenye daftari la kupiga kura kwa mfumo wa BVR limechukuwa headlines kubwa sana jijini Dar es salaam, changamoto zikiwa nyingi lakini pia nia za watu kujiandikisha ni kubwa…
Sheria mpya kwa wafungwa kulishwa chakula wakileta mgomo…
Bunge la Israeli, limepitisha sheria ya kuwalisha kwa lazima wafungwa ambao wanashiriki mgomo na kususia kula. Sheria hiyo ambayo ilikubaliwa na idadi kubwa ya wabunge, inawaruhusu mahakimu kuhakikisha kuwa wafungwa…
Stori ya mwanamke kuripotiwa kufa na baadaye kukutwa hai isikupite mtu wangu…
Kuna stori moja iliwahi kuripotiwa na kipindi cha HekaHeka maeneo ya Bagamoyo baada ya maiti kuzua taharuki kwa waombolezaji wakidai hajafa licha ya kudhibitishwa na daktari kuwa alifariki. Huko Ujerumani…
Mapokezi ya Lowassa kuchukua Fomu na alivyosindikizwa mpaka Ofisini kwake…
July 30 2015 inakuwa siku ya tatu toka utolewe uthibitisho rasmi na Waziri Mkuu wa Zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa kwamba anajitoa CCM na kujiunga CHADEMA.... Tayari kafika…
Chiwa Man kamwimbia Rose Ndauka? Soudy Brown kapiga naye Story…#UHeard (Audio)
Moja ya mahusiano yaliyozungumziwa sana baada ya kuvunjika ni penzi la Rose Ndauka na Chiwa Man wa kundi la 'TNG Squad'...Chiwa Man amesema yupo katika harakati za kuachia ngoma mpya…
Facebook Vs Instagram nani ana watumiaji wengi zaidi duniani? Majibu yake haya hapa.
Kama wewe ni miongoni mwa wale watu wanaohisi Facebook ni mtandao uliopitwa na wakati, basi utapendaa kusikia taarifa hii. Mwishoni mwa mwezi wa sita kampuni ya FB Tech30 ama Facebook…