Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Black Panther kutoka Julai 8 bila Chadwick Boseman
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Burudani > Black Panther kutoka Julai 8 bila Chadwick Boseman
Burudani

Black Panther kutoka Julai 8 bila Chadwick Boseman

July 1, 2021
Share
1 Min Read
ANAHEIM, CALIFORNIA - AUGUST 24: (L-R) Ryan Coogler of 'Black Panther 2' and President of Marvel Studios Kevin Feige took part today in the Walt Disney Studios presentation at Disney’s D23 EXPO 2019 in Anaheim, Calif. 'Black Panther 2' will be released in U.S. theaters on May 6, 2020. (Photo by Jesse Grant/Getty Images for Disney)
SHARE

Tayari imetimia miaka mitatu tangu itoke ile filamu iliyovunja rekodi kadhaa za mauzo duniani na kuchukua hisia za watu wengi ya ‘Black Panther’, good news ni kuwa, uzalishaji wa filamu hiyo ya pili itakayoitwa “Black Panther Wakanda Forever” umeanza rasmi mjini Atlanta.

Kwa mujibu wa Jarida la ‘Variety’, Mkuu wa uzalishaji wa studio za uzalishaji filamu za Marvel, Kevin Fiege, amesema kuwa uzalishaji wa filamu ya Black Panther Wakanda Forever umeanza tokea Jumanne hii na kuwa licha ya kutokuwepo msanii Chadwick Boseman aliyefariki kwa ugonjwa wa kansa ya utumbo, washiriki wengine karibia wote wa Black Panther ya kwanza watakuwepo.

“Ni kweli inaleta machungu bila uwepo wa Chadwick Boseman, lakini kila mmoja wetu yuko tayari kuurudisha Ulimwengu wa Wakanda mbele ya Umma tena na mbele ya mashabiki, tunakwenda kuitengeneza filamu hii kwa namna ambayo ingemfanya Chad ajivunie zaidi” Kevin Fiege.

Filamu hiyo ambayo inamrudisha tena Director Ryan Coogler aliyeongoza Black Panther ya kwanza, inatarajiwa kutoka Julai 8, 2022.

MZEE AFUNGUKA KWA HISIA MBELE YA DC GONDWE “HATUKUTAKA KUJA HAPA, NASI TUNASHUKA HUKOHUKO”

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Miss Higher Learning imerudi Tena 2023, usaili February 11

Picha: CRDB wazindua huduma ya Premier Banking nchini Burundi

Picha: Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Burundi aipongeza benki ya CRDB ya Burundi kwa Miaka 10 ya Mafanikio

Bashungwa ateua Kamati Serengeti Music Festival

TAGGED: burudani
Pascal Mwakyoma TZA July 1, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Trump “tutaichukua tena Marekani”
Next Article Waziri Mkuu awasili Burundi kwa ziara ya siku moja (+picha)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?